Si wanatangaza utalii wa Tanzania!tatizo liko wapi?
Hii ni picha ya mvinyo huko china unatumia nembo ya taifa iliyochakachuliwa
ndo namshangaa jamaa nembo ya taifa kuwepo kwenye mvinyo wakati mvinyo unatengenezwa tanzania, anashindwa kushangaa bendera ya taifa kutumika kama zulia la kukanyagia mjengoni......Si wanatangaza utalii wa Tanzania!
Hii ni picha ya mvinyo huko china unatumia nembo ya taifa iliyochakachuliwa
Hii ni picha ya mvinyo huko china unatumia nembo ya taifa iliyochakachuliwa
alaaaa
Kumbe nembo ya taifa ni ya BIKIRIA MARIA?
Ssasa tukisema nchi ina mfumo kristo mnabisha
hii nilikuwa sijalijua
Allahu Akbar
Wenye akili ndogo km za kwako ndio wanaweza kuamini maneno ya kipuuzi km haya.Hiyo ni Nembo ya Bikira Maria! Tanzania bado hatujapata nembo ya Taifa labda mpaka tupate katiba mpya maana wimbo na nembo za Taifa zote zinamrudia Maria na Mungu Yesu!
Hivyo Wachina waache waitumie ktk mvinyo wao! haina wenyewe hiyo!
Hiyo ni Nembo ya Bikira Maria! Tanzania bado hatujapata nembo ya Taifa labda mpaka tupate katiba mpya maana wimbo na nembo za Taifa zote zinamrudia Maria na Mungu Yesu!
Hivyo Wachina waache waitumie ktk mvinyo wao! haina wenyewe hiyo!
alaaaa
Kumbe nembo ya taifa ni ya BIKIRIA MARIA?
Ssasa tukisema nchi ina mfumo kristo mnabisha
hii nilikuwa sijalijua
Allahu Akbar
Hiyo hapo nembo embu tuelimisheni kuhusu mfumo kristo mahusiano ya nembo ya taifa
![]()
Huo moto hapo juu unaashiria nini?
Sijashangaa maana id yako naamini ndo jina lako halisi ambalo linaashiria kuwa we ni mtu wa ukanda flan maarufu kwa mipasho na ngoma za kusasambua, cant be great thinker.Hiyo ni Nembo ya Bikira Maria! Tanzania bado hatujapata nembo ya Taifa labda mpaka tupate katiba mpya maana wimbo na nembo za Taifa zote zinamrudia Maria na Mungu Yesu!
Hivyo Wachina waache waitumie ktk mvinyo wao! haina wenyewe hiyo!
Unaashiria Bikira Maria