Nembo ya Taifa yawekwa kwenye mvinyo

Nembo ya Taifa yawekwa kwenye mvinyo

Sijashangaa maana id yako naamini ndo jina lako halisi ambalo linaashiria kuwa we ni mtu wa ukanda flan maarufu kwa mipasho na ngoma za kusasambua, cant be great thinker.

Hahaha, ladha kama hizi nilizimiss sana kipindi cha kati hapo. JF raha sana...
 
Hii ni picha ya mvinyo huko china unatumia nembo ya taifa iliyochakachuliwa

Hili ni tatizo.
Lakini tatizo kubwa zaidi ni kuwa hatuna idara ya usalama wa taifa.
Katiba mpya ihakikishe tunakuwa na idara ya usalama wa taifa (eg Mossad, kgb, cia etc), na sio idara hizi za kisiasa.
 
Sijashangaa maana id yako naamini ndo jina lako halisi ambalo linaashiria kuwa we ni mtu wa ukanda flan maarufu kwa mipasho na ngoma za kusasambua, cant be great thinker.

zubeda wengi ni wazaramo au wandengereko yaani ukimuoa mtu kama huyu unamrudisha kesho yake.Uzaramoni hakuna wasichana kuna pasua vichwa ndo hao wamejazana.
 
Last edited by a moderator:
Sijashangaa maana id yako naamini ndo jina lako halisi ambalo linaashiria kuwa we ni mtu wa ukanda flan maarufu kwa mipasho na ngoma za kusasambua, cant be great thinker.

zubeda wengi ni wazaramo au wandengereko yaani ukimuoa mtu kama huyu unamrudisha kesho yake.Uzaramoni hakuna wasichana kuna pasua vichwa ndo hao wamejazana.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni Nembo ya Bikira Maria! Tanzania bado hatujapata nembo ya Taifa labda mpaka tupate katiba mpya maana wimbo na nembo za Taifa zote zinamrudia Maria na Mungu Yesu!

Hivyo Wachina waache waitumie ktk mvinyo wao! haina wenyewe hiyo!

Masaburi aliwalenga watu kama hawa.
 
Mfumo kristu gani wakati taifa linaendeshwa kwa kutegema kodi za pombe, pombe ni kitu mhimu sana hapa nchini. Watanzania wote ni walevi wanywaji direct na wanywaji indirect yaani wanaofaidi kodi za pombe. Kila mwaka kupandisha kodi za pombe. Pombe pombe pombe hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Kwa hapa bongo nitaipataje hiyo pombe yenye nembo nzuriii, na kwa mlioionja vipi ni kitu cha alcohol ngapi? Ni brandy, whisky au nini tena hiii?
 
Huo moto hapo juu unaashiria nini?
Jini tu hilo ndo linakusumbua akilini mwako zubeda, inabidi ufanyiwe maombi ya kwa jina la Yesu ili hilo jini likutoke, upate kuona vitu halisi na sio illusion.
 
Last edited by a moderator:
Huo moto hapo juu unaashiria nini?
Jini tu hilo ndo linakusumbua akilini mwako zubeda, inabidi ufanyiwe maombi ya kwa jina la Yesu ili hilo jini likutoke, upate kuona vitu halisi na sio illusion.
 
Back
Top Bottom