Mambo yafuatayo yamenifanya kupendekeza kubadilishwa kwa nembo hii ya Taifa letu:
1. Hivi hayo mavazi ndio ya Taifa? Kwa hiyo wadada na wamama wakivaa gauni kama la huyo mwanamama kwenye ngao ni sahihi?
2. Huyo mwanaume kushoto, hiyo nguo aliyovaa inaitwaje? Mimi naona kama gauni vile!! Maanake design yake ni kama haina tofauti na ya yule mwanamama upande wa kulia!!!
Oh, Mwanamay, kumbe ilishabadilishwa tangu 2013, baada tu ya kumpata katibu mkuu mpya Kinana.
Kwa hiyo hakuna mgogoro tena!.