Dean JF-Expert Member Jan 1, 2013 636 244 Jun 10, 2013 #1 Mswada unaandaliwa Attachments 945663_579671098723138_784903932_n.jpg 45.6 KB · Views: 346
Dean JF-Expert Member Jan 1, 2013 636 244 Jun 10, 2013 Thread starter #3 mamu the catalyst said: Kila m2 na chake. Click to expand... Itabidi nigombee uenyekiti wa mtaa saiv,tena nikipata sehemu yenye misitu ntafurahi sana.
mamu the catalyst said: Kila m2 na chake. Click to expand... Itabidi nigombee uenyekiti wa mtaa saiv,tena nikipata sehemu yenye misitu ntafurahi sana.
galindas JF-Expert Member Mar 3, 2013 978 1,304 Jun 10, 2013 #5 Nimeipenda hii nembo mpya. Ila hao jamaa wanaochukua chao mapema ilifaa wawe wamevaa suti ikimaanisha waheshimiwa wakipora mali za nchi.
Nimeipenda hii nembo mpya. Ila hao jamaa wanaochukua chao mapema ilifaa wawe wamevaa suti ikimaanisha waheshimiwa wakipora mali za nchi.
Mtali JF-Expert Member Aug 7, 2011 3,445 2,486 Jun 10, 2013 #6 Hao waliochukua Pembe za Ndovu wametumwa na Kinana nini? Hahahahahaaaaaa
Dean JF-Expert Member Jan 1, 2013 636 244 Jun 10, 2013 Thread starter #7 Mtali said: Hao waliochukua Pembe za Ndovu wametumwa na Kinana nini? Hahahahahaaaaaa Click to expand... we angalia vizuri kinana yupo hapo sema hajavaa vazi rasmi
Mtali said: Hao waliochukua Pembe za Ndovu wametumwa na Kinana nini? Hahahahahaaaaaa Click to expand... we angalia vizuri kinana yupo hapo sema hajavaa vazi rasmi
life is Short JF-Expert Member Apr 1, 2013 4,741 3,031 Jun 10, 2013 #8 Tanzania tumebweteka sana ndiyo maana Laana imetusibu!! msikini jeuri
S spleen JF-Expert Member Apr 24, 2013 3,225 4,662 Oct 31, 2017 #9 Dean said: Mswada unaandaliwa Click to expand... Ndio nini hiki we boya
Mathias Raymond Nyakapala JF-Expert Member Mar 1, 2017 2,182 1,490 Oct 31, 2017 #10 Nembo mpya inatakiwa iwe nda Mzee Baba a.k.a Rais wa Mwanza