Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Maisha ni safari.
Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.
Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!
Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!
Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!
Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!
Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.
Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!
Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!
Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!
Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!