Nelson Mandela; Julius Nyerere and Jakaya Kikwete

Nelson Mandela; Julius Nyerere and Jakaya Kikwete

Albert Msando

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
1,019
Reaction score
171
Maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!
 
Naomba umwondoe Kikwete kutoka kundi hili. Hajajifunza lolote kutoka kwa Nyerere au Mandela. Yeye anajua kila kitu ndio maana ameboronga nchi kiasi hichi. He simply does not belong in this honorable group.
 
msando msando!hawa watu ni muhimu sana huwezi wafananisha na JK!JK ni tatizo kwani anachukulia mambo kwa urahisi sana.mwalimu angekuwepo leo hakuna hata mmoja angedhubutu kuongelea udini.yeye kama rais anashindwa kukemea kwa sauti ya mamlaka anaongea kwa kubembeleza.inakera bana hawafanani hata kwa mbali mkuu
 
Tema mate chini we msando Unalinganisha Manchester United na Lipuli ya Iringa?!! kisa wote wanacheza ama walicheza mpira mmoja wa duara duh una utani wewe!!! sasa na makamba,Maghembe,kawambwa wako kundi gani?!! hukawii kusema kawambwa ni sawa na Sokoine!
 
Msando si vibaya ukitutaka radhi kwa hili.

Madhaifu ya hawa wazee wawili Nyerere na Mandela huwezi kulinganisha na upeo wa juu kabisa wa JK.
 
Mi nadhani ungeondoa hilo jina la jk haraka iwezekanavyo maana unweza kusababisha mwalimu(nyerere) huko alipo akashtuka,tafadhali plz ondoa hilo jina.
 
Hii ni sawa kulinganisha kichuguu na milima.

mkuu, kichuguu na mlima inaweza kufananishwa.....kichuguu ni kidogo na mlima ni mkubwa.......hiyo hapo juu ni kama ile michezo ya kutoa kitu kisichofanana.....yaani unapewa group lenye vitu vitatu, chumvi, sukari na vocha ya LUKU halafu unaambiwa utoe kitu ambacho hakitakiwi kuwepo kwenye hilo group.
 
Maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!

Hapo kwenye nyekundu sikubaliani.
 
toa upupu huu ..huwezi kuziunganisha dot za hao jamaa wawili na kikwete
 
Maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!

Hivi kumbe na wewe ni popompo? Utawezaje kukutanisha mashariki na magharibi? Nisamehe kama nimeropoka,but kikwete huyu naye mjua hafai katika kundi la wazee wetu watukufu, Au ulimaanisha John kennedy?
 
Msando si vibaya ukitutaka radhi kwa hili.

Madhaifu ya hawa wazee wawili Nyerere na Mandela huwezi kulinganisha na upeo wa juu kabisa wa JK.

Wewe na Msando wote ni mapopompo!, mnastahili kuingia kwenye malipo ya RA, kwa kumkweza baba yenu kikwete..
 
maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba jk anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live hon. Jakaya kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama mzee mandela na mwalimu nyerere ambao wamekutangulia!

wewe lengo lako ni kuharibu mood za wana jf. Utani huu ungesubiri uutole siku ya tarehe 01.04.2011 ambapo ingeonekana ni siku ya wajinga. Sio leo ,tafadhali sana.
 
Maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!

Umepotokaje? Pamoja ya kuwa wote ni wataalamu wa kucheza viduku hadharani JeyKey hawezi kuwa kwenye level moja kiutendaji na Jacob Zuma wa Mzansi. Sembuse kumlinganisha na majabali hao wawili?
 
Maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!

Umetuchafua mkuu. Temea mate kauli hiyo
 
Maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!
Kukumbukwa lazima maana ametetea Dowans, alitoa siku kwa wezi wa EPA kurudisha hela ili waepuke mkondo wa sheria etc. ukiangalia hizi zote ni deal za mabilioni yanayoishia kiulaini mikononi mwa wachache sasa hawa wanasababu ipi ya kutokumkumbuka ? Otherwise atakumbukwa kwa kuwa rais wa I wa tz kuface Peoples POWER.
 
Get serious buddy, unawezaje kumuingiza K'wete kwenye list ya waheshimiwa waasisi? Huyo bwana labda umuingize kwenye list ya ......!
 
Maisha ni safari.

Ni safari ambayo kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine anaacha alama yake.

Najaribu kuwalinganisha hawa viongozi watatu kwa kuangalia safari zao za maisha. Najaribu kupima na kupembua yale mazuri ambayo mtu anaweza kuyafuata kama alama ambayo wameacha kwetu!

Wanachofanana sana ni majina yao ya kwanza na mwisho. Yanafanana kwa sababu yote kwa pamoja yana herufi 13! Hicho ndio kitu pekee nimeona wote kwa pamoja wanafanana!

Naamini kwamba JK anajifunza na amejifunza kutoka kwa hao wengine na atakapomaliza muda wake atakumbukwa kama hao wengine!!

Long live Hon. Jakaya Kikwete! Nakuombea utakapomaliza muda wako ukumbukwe kama Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere ambao wamekutangulia!

Najua unatania. In fact, hata kikwete mwenyewe akisoma thread hii atashangaa kwamba "eeehh pamoja na kuendesha nchi shagalabagala hivi kumbe bado kuna watu wanaona kuna chochote cha maana nilichofanya!!!!!!"
 
Yaani utani mingine bwana!!!!!!! Unaweza kupigana kikwete na mandela ? Ha ha ha ha ha ha ha mbavu sina
 
Back
Top Bottom