Nelson Mandela alihalalisha uporwaji wa Ardhi ya Afrika Kusini kwa Boers halafu anaitwa Baba wa Afrika. Afrika tumerogwa na nani?

Acha kudanganya watu, au usikubali kudanganywa kifara.

Mandela amefanya vikao vingi na De clack tangu akiwa jela anachukuliwa kwa siri kwa Hellicopta na kupelekwa ikulu baada ya kikao anarudishwa gerezani Pose moore, achana na Roben Island.

Mandela angeachiwa huru siku nyingi tu ila wapumbavu kama wewe hamjui chochote kwa nini Mandela alikaa jela muda wote huo.

Mjinga anaponyamaza uhesabiwa hekima, tupe ushahidi wa ni wapi na lini Desmond Tutu alilia?

Tueleze huyu Desmond Tutu ni kwa nini yeye ndio aliteuliwa na Mandela kuongoza tume ya Truth and reconciliation commission? Na kwa nini hakukataa? Una uelewa wowote wa neno reconciliation?

Mungu alifanya jambo kubwa sana kuwanyima Watanzania wa kawaida uwezo wa kuandika lugha ya kingereza otherwise mngekuwa sumu sana, kutoka kuwagombanisha Konde boy na Diamond mngefikia mpaka level za kugombanisha nchi nyingine.
Hivyo vikao ndio vikafikia kuhalalisha ardhi waliyoporwa wazungu sio? 😆😆😆😆..

Aliambiwa aache harakati aachiwe akagoma,alivyogoma wakampa option ya kuwa Rais ila ardhi kwa wazungu akakubali sasa hapo Cha maana kipi alifanya?

Saizi Wakitaka Ardhi wainunue kwa fedha za umma ndio waigawe kwa wahitaji na Hadi sasa wameweza 20% only out of 80% ya total land,huu si ni wehu?

Angefanya Julius hili ingekuaje?
 
Hizi ndio akili za Malema hizi, wakishamaliza hayo waje waanze kujutia once 1973 Zimbabwe ilikuwa something else nafikiria wajiangalie vizuri katika ku handle mambo yao.
Malema ni mpuuzi. Ni populist na mambo yakiharibika ( na yataharibika) atawageukia hao hao anaojifanya anawapigania.

Amandla...
 
Sababu mojawapo ya Winnie Mandela kukorofishana na Mandela ni kubadilika kwa msimamo wa huyo mwamba. Baada ya kutoka jela alikuta wanaharakati wenzake wakiongozwa na Winnie walishafikia next level ya kudai uhuru, waliamua hadi kutumia silaha kudai uhuru na sio njia ya diplomasia Mandela aliwakatalia kabisa na kukomalia njia ya upole.

Nadhani jamaa kuna makubaliano aliingia na boers ili waendelee kuishi kwa amani RSA. Ungekuwa uhuru wa kupambana wazungu wasingekuwa na mali hizo hadi leo, walistahili kutaifishwa mizigo yote ikiwemo ardhi maana walijimilikisha wakati wa serikali ya kibaguzi.
 
Sababu mojawapo ya Winnie Mandela kukorofishana na Mandela ni kubadilika kwa msimamo wa huyo mwamba. Baada ya kutoka jela alikuta wanaharakati wenzake wakiongozwa na Winnie walishafikia next level ya kudai uhuru, waliamua hadi kutumia silaha kudai uhuru na sio njia ya diplomasia Mandela aliwakatalia kabisa na kukomalia njia ya upole.

Nadhani jamaa kuna makubaliano aliingia na boers ili waendelee kuishi kwa amani RSA. Ungekuwa uhuru wa kupambana wazungu wasingekuwa na mali hizo hadi leo, walistahili kutaifishwa mizigo yote ikiwemo ardhi maana walijimilikisha wakati wa serikali ya kibaguzi.
Wakati mwingine busara na hekima vitawale, wa South wanajeuri ya shibe ndugu yangu, Zimbabwe ile pale wamechukua kila kitu yako wapi sasa?
 
Hivyo vikao ndio vikafikia kuhalalisha ardhi waliyoporwa wazungu sio? 😆😆😆😆..

Aliambiwa aache harakati aachiwe akagoma,alivyogoma wakampa option ya kuwa Rais ila ardhi kwa wazungu akakubali sasa hapo Cha maana kipi alifanya?

Saizi Wakitaka Ardhi wainunue kwa fedha za umma ndio waigawe kwa wahitaji na Hadi sasa wameweza 20% only out of 80% ya total land,huu si ni wehu?

Angefanya Julius hili ingekuaje?
achana naye huyo hakijui anachokibwabwaja🤣🤣🤣🤣
 
Tarehe 20 Aprili 1964, akiwa na umri wa miaka 45, akiwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 5, kilichoanza 1962, alisimama kizimbani katika kesi iliyojulikana kama kesi ya Rivonia, Mandela alikiri kuwa alikuwa mmoja wa waasisi wa Umkhoto we Sizwe na kuwa alihusika katika juhudi za ku sabotage utawala wa makaburu. Alisema hivyo akijua thika kuwa anaweza kuhumiwa kifo. Lakini aliwaambia makaburu kuwa yote tayari kufa kwa ajili ya imani yake. Akahumiwa kifungo cha maisha. Kwa miaka 18 ya kifungo hicho alipasuwa mawe, alilala kwenye sakafu na alikuwa kwenye selo isiyokuwa na choo. Na kwa muda wote huo hakutetereka katika imani yake. Mwaka 1985 Mandela alikataa ofa ya kuachiwa kutoka jela kwa sharti la kuacha shughuli za ukombozi. Alibaki jela mpaka 1990.
Alipotoka jela alikuta kuna mapambano makali kati ya ANC na Inkatha Freedom Party cha Chief Buthelezi. Mandela akamfanya Buthelezi Waziri wa Mambo ya Ndani. Na alimuachia nchi mara 22 kama acting President.
Ingawa alikuwa na uwezo wa kuendelea kuwa Rais, Mandela alikataa kugombea na mwaka 1999 akaachia urais.
Wakati viongozi wake wenzake wanakataa uwepo wa Ukimwi, Mandela alisema wazi kuwa mwanae alifariki kwa ukimwi!
Kwa kumshutumu Mandela kwa kuwauza watu wake, kunaonyesha wazi msivyoijua historia ya huo uafrika mnaojifanya kuutetea.

Amandla...
I'm saddened with this level of historical thinking you bluff to portray. For this, Africa will in deed, be recolonized in 20-25 years to come. PLO Lumumba said it better.
 
Too harsh...

Miaka 27 gerezani sio kitu kidogo, isitoshe baada yake wamepita marais weusi kama 3, kwanini hawajapigania hiyo ardhi?.....ilikuwa lazima kazi zote azifanye peke yake ?

Kwanini yeye ndiye awe wakubeba lawama ?
Mkuu,
Rais au kiongozi mkubwa wa kwanza ktk nchi ana set precedent nyingi kwa kutoa dira katika maamuzi makubwa ya nchi.

Angalia Uganda, Zambia, Tanzania, Kenya USA na nyinginezo. Mengi ni muendelezo au shaping na reshaping of the early foundations za viongozi wa kwanza. Na kwa hapo, Mandela alikosea. Truth be said. His rainbow state speech brought more harm than good the blacks.
 
Acha upuuzi wako wewe mbilikimo wa akili..

Harakati za kudai ukombozi huko South Afrika zilikuwa ni za kumtoa jela Mandela kwa gharama ya damu na ardhi ya watu wake?

Angola,Msumbiji na Nchi zingine zilidai haki yao ya Ardhi badala ya uhuru wa bendera kama wa South Africa na Zimbabwe..

Zimbabwe imefeli kwa sababu hawakudai haki sawia wakati Mugabe anapewa uhuru wa bendera kama Mandela ,so walivyokuja kunyakua kwa nguvu ndio wameharibikiwa ila wangenyakua from bugging wala wasingekuwepo walipo sasa.

Mtu mweusi yupo kwa ajili kuendeshwa tu, ukimpa madaraka kamili anaigeuza nchi kuwa shamba lenye ukame. Kubalini ukweli tu, SA inaendelea kusavaiv kiuchumi kwa sababu uwepo wa wazungu kwenye mfomo.
 
I'm saddened with this level of historical thinking you bluff to portray. For this, Africa will in deed, be recolonized in 20-25 years to come. PLO Lumumba said it better.
Gibberish. Absolute gibberish. "You bluff to portray "maana yake nini? Kwa nini mnaipenda hiyo lugha ambayo hamuijui?

Amandla....
 
Mkuu,
Rais au kiongozi mkubwa wa kwanza ktk nchi ana set precedent nyingi kwa kutoa dira katika maamuzi makubwa ya nchi.

Angalia Uganda, Zambia, Tanzania, Kenya USA na nyinginezo. Mengi ni muendelezo au shaping na reshaping of the early foundations za viongozi wa kwanza. Na kwa hapo, Mandela alikosea. Truth be said. His rainbow state speech brought more harm than good the blacks.
Ni "Truth be told". Sio "truth be said". Rainbow state speech? More harm than good the blacks?
Lord have mercy.

Amandla...
 
Gibberish. Absolute gibberish. "You bluff to portray "maana yake nini? Kwa nini mnaipenda hiyo lugha ambayo hamuijui?

Amandla....
I see, so you know what I meant to write hahaaaa....take it easy son. Kama imekosewa sahihisha, acha kupapatuka.
 
Kiingereza kibovu ni kibovu tu. No excuses maana haujalazimishwa kukitumia. Au unatumia Google translate?

Amandla...
Oya we acha kutafuta kiki za kitoto. Nilivyosema umekariri namaanisha umekariri hiyo phrase. Hapo hakuna kosa la kisarufi, muundo wala maana. Achana na hii mambo. Tuendelee kujadili ni kwanini kila jamii ya wazungu hao unaowapenda kwa nini kila wakifanya interaction na jamii nyingine hasa weusi. Hao weusi huishia ulevi, kukosa ardhi, kuwa watumwa na kutawaliwa kwa njia mbalimbali. Kama ilivyo kwa South Africa
 
Oya we acha kutafuta kiki za kitoto. Nilivyosema umekariri namaanisha umekariri hiyo phrase. Hapo hakuna kosa la kisarufi, muundo wala maana. Achana na hii mambo. Tuendelee kujadili ni kwanini kila jamii ya wazungu hao unaowapenda kwa nini kila wakifanya interaction na jamii nyingine hasa weusi. Hao weusi huishia ulevi, kukosa ardhi, kuwa watumwa na kutawaliwa kwa njia mbalimbali. Kama ilivyo kwa South Africa
Hauwezi kuona kosa maana ndivyo ulivyo fundishwa. Bakia huku huku kwenye lugha unayoiweza. Hata huko matumizi ya "full stop, comma n.k." ni mtihani.

Amandla...
 
Back
Top Bottom