Cornestone
Member
- Jun 26, 2025
- 20
- 5
Fikra zako zimepauka sanaaBlow job Inge tuepusha na ujinga wako
Angelimwaga bao lako chooni angekuwa ametufanyia a big favor..,
Trillion 107 sio mchezo!
Ambayo wewe haujayamwaga chooni, yameleta mchango gani kwenye Jamii na taifa kwa ujumla?Angelimwaga bao lako chooni angekuwa ametufanyia a big favor..,
Trillion 107 sio mchezo!
Kunguni mpya.Mikopo ya 10% ππ½
Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi.
Arusha OKTOBA Tunatiki β
View attachment 3416346
Trillion 107Ambayo wewe haujayamwaga chooni, yameleta mchango gani kwenye Jamii na taifa kwa ujumla?
Mbona waliopata hawatoi shukraniMikopo ya 10% ππ½
Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi.
Arusha OKTOBA Tunatiki β
View attachment 3416346
Kabisa,watu tu wanajifanya hawaoni juhudi zake alizofanyaHuyu mama ni hazina kwa africa
Wanatoa vizuri tu, wewe tu unajifanya haushukuru kumbe moyoni unashukuruMbona waliopata hawatoi shukrani
Watanzania wangapi, wapi?Yaani watanzania mjini hadi mashambani wako wanalia wanalalamika alafu eti Arusha mna Furaha, kwani Arusha si Tanzania hii yenye kuharibiwa na timu msoga? Kwenye vita sherehe na harusi huwa vinasimama kwanza ama la na wewe unatakiwa kuwahi seat yako ahela
Nzuri sana hiiMikopo ya 10% ππ½
Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi.
Arusha OKTOBA Tunatiki β
View attachment 3416346