shumbe
Member
- Nov 13, 2012
- 28
- 4
wapendwa nepatashefa kutoka nchi za jirani ana malove makubwa na anataka tuwepamoja ilaana watoto ambao amezaa na wanawake tofauti na wa mwisho wame devorce though huwa anawapeleka watu kwa huyo mke ambaye ana mtoto naye w miaka 3. anataka nikaishi naye na kufunga ndoanchoni kwao sasa nishaidieni mawauo hapo