Need to launch complaint against GSM GROUP

do u know anything about Dubai.
I live in Qusais, i work at the DFC near emirates towers, i know dubai to tell u few areas , Muragabat, Hor al Anz, ask me anything abiut Dubai, Sharjah, Abu Dhabi.
 
Unfortunately GSM supports the in office political party and government, I advice you to report the case to the ministry of international affairs and relations in your country so they can link with our ambassador in India

Its possible to unveil the veil off the GSM management and sue them independently.

Get in touch with the president of Tanganyika Law Society madam Fatma karume
 
 
Through,Throw
 
Do not judge some one written language like the one you write is perfectly right
 
Sasa mpka unalazimishwa kwenda airport ulikua umepulizwa dawa ya usingizi ili hali vyombo vya dola vipo
 
Nadhani unapaswa kushukuru kwamba hawakukudhuru bali walikuacha ukipumua hivyo PAMBANA na hali yako huko huko kwenu India.

Uliwahi kuwatetea Wabongo wangapi waliokuwa wakilipwa elfu 70 wakati wewe Ukivuta Dollar 4,000/= bila expertism yoyote?
Punguza roho ya kwanini mkuu! Hata Magu mwenyewe hawezi kataa mamilioni ya mshahara pamoja na kwamba kuna wabongo hawawezi kujinunulia panadol!
 
You should contact your foreign ministry and lay you complain, your foreign ministry will contact the Indian ambassador in Tanzania who will contact ministry of international and foreign affairs of Tanzania who will investigate the matter and give the answer back to your government through your Ambassador
 
Dear XYZ,, since you scare to open your identity, list down people whom i stole,, and pay my dues so if any one left i will pay for sure, i am open to talk and sort out if any issue still pending.
I have been ethically removed from company, not only me in last 6 months, East Africa Retail removed Deeepak, Anoop, Taurai now even CEO going. So all people can't be wrong. And list of removing ethically is long.

Can you beleive some staff went on vacation, and during vacation has been told you are terminated it happened with Taurai and Deepak,
 
Under process now.
 
Ndugu huyu hana kesi, na wala hataki kufuata sheria. Nimemueleza hizo njia angezipitia , ubalizi wao wange zungumza na FM wetu na kesi ingetatuliwa. Yeye anachotaka ni kuiabisha na kwajengea majungu GSM.
 
Mimi ndo hakimu nimemwambia awalete mahakamani ,nimekosea wapi ?T'es con. I speak Kisukuma, kiswahili, English and French frequently. I speak Espagnol and deutsch and ofcourse italienne perfectly.
Mtumeeee!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…