Need help,mostly security experts

Need help,mostly security experts

Science & tech forum is one of the non-conflicting forum. Calling people names might make this a history. It's OK for a person to know nothing; at least they are willing to learn
 
khalids19

Mimi mtoto! khalids19... wakati wewe unaonyesha kabisa ushamba na utoto wako "listen kid will you Shut Da FU!"

Naona hapa nikuombe msamaha kwani hukunielewa nini nilichosema, Naona hukusoma comments zangu za awali kwenye hii post. Mimi nilitaka tu kumfahamisha Zasasule tu umuhimu wa kuzingatia sheria. Ndio alisema kuwa yeye anataka kujifunza tu, njia panya ambazo watu wanatumia ku circumvent security hiyo.
Tatizo la kutoa ujuzi tu bila kuuliza maswali kama haya yanaweza bila mtoa huo "ufundi" kujua kuwa na side effect kwa mwombaji na pengine huyo aliyetoa huo ufahamu. Nikasema kuwa nina jamaa zangu wa karibu waliopoteza kibarua kwa ujanja wa kukwepa kuzingatia sheria na hapo ndipo Zasasule alivyotaja kuwa yeye anataka kujifunza tu. Sasa wewe unaingilia thread na hasira tu sijui lengo lako ni nini....
Kama ulinisoma, nilitoa topic tu, ndio yeye atafute ufahamu zaidi kwa ku'google hiyo topic "IP Tunnelling" na katika kusaka huo ufundi, najua atapata maelezo zaidi na sio mimi kumwekea hapa points 1,2,3,4.... na hapo kweli atakuwa anajifunza.
Hata hivyo samahani kama sikueleweka.
 
khalids19

Mimi mtoto! khalids19... wakati wewe unaonyesha kabisa ushamba na utoto wako "listen kid will you Shut Da FU!"

Naona hapa nikuombe msamaha kwani hukunielewa nini nilichosema, Naona hukusoma comments zangu za awali kwenye hii post. Mimi nilitaka tu kumfahamisha Zasasule tu umuhimu wa kuzingatia sheria. Ndio alisema kuwa yeye anataka kujifunza tu, njia panya ambazo watu wanatumia ku circumvent security hiyo.
Tatizo la kutoa ujuzi tu bila kuuliza maswali kama haya yanaweza bila mtoa huo "ufundi" kujua kuwa na side effect kwa mwombaji na pengine huyo aliyetoa huo ufahamu. Nikasema kuwa nina jamaa zangu wa karibu waliopoteza kibarua kwa ujanja wa kukwepa kuzingatia sheria na hapo ndipo Zasasule alivyotaja kuwa yeye anataka kujifunza tu. Sasa wewe unaingilia thread na hasira tu sijui lengo lako ni nini....
Kama ulinisoma, nilitoa topic tu, ndio yeye atafute ufahamu zaidi kwa ku'google hiyo topic "IP Tunnelling" na katika kusaka huo ufundi, najua atapata maelezo zaidi na sio mimi kumwekea hapa points 1,2,3,4.... na hapo kweli atakuwa anajifunza.
Hata hivyo samahani kama sikueleweka.

mm nimekukasirikia unavyosema seek ur wizi elsewhere!! wewweeee angalia unavyoingia kwenye topic sawaa!!wewe umejiunga juzi tu halafu eti jf sio sehemu ya wizi seek ur wizi elsewhere!! mbona wenzako hawakumjibu vibaya kama wewe mwanzo?? jifunze kuwa mstaarabu siku ingine!!!
 
HELOO jf members
Kuna hii kitu inaitwa sonic Wall,Najua ni hardware ambayo inawekwa kwenye gateway for filtering the incoming packets,,
Sasa nahitaji msaada mmoja,je kuna njia yoyote ya kuweza ku bypass this wall,i mean so that i can access all the site couse kutokana na hii sonic wall i cant access some of the sites i want to.Rember am just a normal user but not the network admin!!

ANYBODY WHO KNOWS,KINDLY REQUEST FOR YOUR HELP

Mkuu,

Sonic wall imebuniwa kwa ajili ya kudhibiti "content"- yaani emails, text messages kwa njia ya anti-spam na usalama wa "network ambao unajumuisha mambo mengi kama "network intrusion prevention" ambayo ina kazi ya kudhibiti shughuli kama unazodhamiria.

Sasa kampuni nyingi zenye kutaka kulinda maslahi yao zinatumia teknologia hii mpya ya Sonicwall ambapo pia kwenye hio gateway pana solution inaitwa Unified Threat Management au UTM ambayo inaisaidia kampuni kugundua watembeleaji wa website ambao wanahatarisha usalama wa mitandao yao na haiangalii IP address tu bali pia zile IP addresses ambazo zinabadilikabadilika kwenye mfumo wa DHCP-Dynamic Host Configuration Protocal na Wifi ambayo inakuwa na watumiaji wengi.

Ikiwa unataka kuwa unatambelea tu kwa ajili ya browsing tu bila kutaka kuchota files huna haja ya kuwa na wasiwasi.
 
so richard for downloading and uploading haewezekani?this UTM NI HARDWARE AMA SOFTWARE?
 
so richard for downloading and uploading haewezekani?this UTM NI HARDWARE AMA SOFTWARE?

Mkuu,

Kama una nia ya kufanya downloading na uploading itategemea kama sehemu hio wana hio techonology ya UTM. Ni technology ambayo bado ni mpya na inajumuisha both hardware na software.

Device inakuwa installed kwenye gateway (router) na moja ya mambo ambayo inashughulikia ni kudhbiti bandwith ambayo inahusisha kiwango cha wewe kufanya downloading yako.

Sasa tukirudi kwenye swali lako umeuliza kama unaweza kubypass hii solution. Jibu ni kwamba ni vigumu kufanya hivyo kwasababu solution hii inauzwa ghali sana na makampuni mengi yanagharamia manunuzi yake ili kulinda biashara zao, hivyo setting yake ambayo inafanywa na system administrator haitaweza kuwekwa kiuzembe-nafikiri unanielewa hapo.

Halafu pili, huwezi uka-access tu sites kama sokoni Kariakoo, siku hizi kila mtu anachunga biashara yake na websites nyingi zinatumia technology kama hii kujilinda na moja ya kazi ya UTM ni web filtering kwa kutumia SurfControl kwa watu wanaotuma (uploading) unknown content au suspicious dowloading.

Nafikir utanielewa hii topic ni ngumu kidogo lakini karibu.
 
khalids19

Mimi mtoto! khalids19... wakati wewe unaonyesha kabisa ushamba na utoto wako "listen kid will you Shut Da FU!"

Naona hapa nikuombe msamaha kwani hukunielewa nini nilichosema, Naona hukusoma comments zangu za awali kwenye hii post. Mimi nilitaka tu kumfahamisha Zasasule tu umuhimu wa kuzingatia sheria. Ndio alisema kuwa yeye anataka kujifunza tu, njia panya ambazo watu wanatumia ku circumvent security hiyo.
Tatizo la kutoa ujuzi tu bila kuuliza maswali kama haya yanaweza bila mtoa huo "ufundi" kujua kuwa na side effect kwa mwombaji na pengine huyo aliyetoa huo ufahamu. Nikasema kuwa nina jamaa zangu wa karibu waliopoteza kibarua kwa ujanja wa kukwepa kuzingatia sheria na hapo ndipo Zasasule alivyotaja kuwa yeye anataka kujifunza tu. Sasa wewe unaingilia thread na hasira tu sijui lengo lako ni nini....
Kama ulinisoma, nilitoa topic tu, ndio yeye atafute ufahamu zaidi kwa ku'google hiyo topic "IP Tunnelling" na katika kusaka huo ufundi, najua atapata maelezo zaidi na sio mimi kumwekea hapa points 1,2,3,4.... na hapo kweli atakuwa anajifunza.
Hata hivyo samahani kama sikueleweka.

Mkuu mpotezeee huyo nasikia bangi is cheaper than ciggarrete nowadays
 
Back
Top Bottom