The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,224
- 17,377
Magufuli asilaumu watu na kutulinganisha na Libya ya Saddam ................. CCM ndiyo wenye uwezo wa kuleta machafuko au kuimarisha amani iliyopo kwa kukabidhi madaraka kama watashindwa.
Kwa mchezo huu wa NEC sitashangaa kauri kama hizi za Bulembo zikiongezeka kila siku kadri dalili zitakavyozidi kuwa wazi kuhusu mshindi!! Mark my words!!
Kwa mchezo huu wa NEC sitashangaa kauri kama hizi za Bulembo zikiongezeka kila siku kadri dalili zitakavyozidi kuwa wazi kuhusu mshindi!! Mark my words!!