NEC yatupa kando malalamiko ya UKAWA

NEC yatupa kando malalamiko ya UKAWA

Huu uchaguzi ni wa kuingia Ikulu sio msituni! Ukisema utaingia msituni wewe ni gaidi unatakiwa kupigwa nondo mchana kweupe!!!
Hivi wanaoingia msituni na wale wanaokataa matokeo ya masanduku ya kura kama vile alivyofanya Laurent Gbagbo kule Ivory Coast mwaka 2010 kuna tofauti gani na watu wa design hizo 2?

Kwa kuwa wote hao wanasababisha umwagikaji damu ndani ya nchi zao kutokana na kiburi chao cha kutaka kujifanya wana hati miliki za kuzitawala nchi zao hadi mwisho wa dunia.
 
Tukutane october, hasira zote kwenye karatas!
Pumbav ccm
 
kwa hiyo hata mtu akisema nitaingia msituni nisipotangazwa mshindi ni poa tu kwa lubuva!!!!
hii katiba ya ovyo sana,halafu kile kibabu kilichopigwa na makonda kipo bize kumpigia kampeni mwanae....

Unafahamu kwa kweli hivi vizee havikupata fursa za kupiga pesa wakati vikiwa madarakani na mkulu anajua hata wanachomiliki.Wengi walishapoteza mielekeo na heshima uraiani.Wengi tulishasahau kama Warioba aliwahi kuwa waziri mkuu wa nchi hii sidhani hata kama stahiki zake anazipata.Makonda alipompa kisago wala chama chake hakikuonekana kujali.Nami nilisema acha apate mkongoto kwani hana msimamo unaoeleweka.Kwa kuwa bei yake wanaifahamu wakamweka kwenye kamati na kumpa maneno ya kusema kumnadi mgombea wao na jinsi ya kukandia Lowassa. Angekuwa mzee wa busara na asie na njaa asingekubali uteuzi huo akikumbuka yaliyomfika bunge la katiba na kudharailiwa na makada wa ccm. Sasa kwenda kumnadi mwanae kawe ni kumharibia kwani hana sifa tena uraiani na hata hivyo kwa jembe la ukawa Halima mdee bora asichezee hela yake iliyobaki kwani AMESHASHINDWA TAYARI. MABADILIKO UKAWA. UKAWA MABADILIKO.
 
Nawashangaa nyie watu, hivi mnadhani kuwa wakati Lubuva angeweza kukemea hizo kauli? Hivi alishakemea matukano ya Mkapa? Kwani aliteuliwa na nani?
 
Wanasheria wa Ukawa, weka vizr kumbukumbu za hizo kauli znazotolewa na viongoz wa ccm, iwapo itatokea mizingwe ikasababisha machafuko kuna watu watapelekwa icc kwa kuanzia na viongoz wa tume ya uchaguz
 
kwa njia ipi?maana kauli ya bulembo anamaanisha hata kwa kutumia jeshi wataingia ikulu tu!!!!

Wakamuulize Bagbo aliwahi kufanya mchezo huo???!!! Mshindani wake aliwahi kuwa waziri wake mkuu. The same as E L
 
kwa hiyo hata mtu akisema nitaingia msituni nisipotangazwa mshindi ni poa tu kwa lubuva!!!!
hii katiba ya ovyo sana,halafu kile kibabu kilichopigwa na makonda kipo bize kumpigia kampeni mwanae....

Jaribu uone chamoto
 
Wanasheria wa Ukawa, weka vizr kumbukumbu za hizo kauli znazotolewa na viongoz wa ccm, iwapo itatokea mizingwe ikasababisha machafuko kuna watu watapelekwa icc kwa kuanzia na viongoz wa tume ya uchaguz

ndo maana yake.
 
Ndo maana tulipiga kelele sana kutaka tume huru ya uchaguzi .
Kauli kama hiyo Bulembo ingekuwa imetolewa na kiongozi wa upinzani basi ingesikia onyo kutoka NEC lakini kwa ccm ni sawa.



HAKUNA CHENYE MWANZO KISICHOKUWA NA MWISHO .
 
Ndo maana tulipiga kelele sana kutaka tume huru ya uchaguzi .
Kauli kama hiyo Bulembo ingekuwa imetolewa na kiongozi wa upinzani basi ingesikia onyo kutoka NEC lakini kwa ccm ni sawa.



HAKUNA CHENYE MWANZO KISICHOKUWA NA MWISHO .

tena ndo ingekuwa tangazo kwenye televisheni.
 
Malalamiko ya Umoja Wa Katiba Ya Wananchi [ukawa] juu ya kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wa Ccm Bw. Abdallah Bulembo, kuwa chama chake hakitakuwa tayari kuiachia ikulu kwa namna yoyote ile,

Mwenyekiti Wa Ukawa Freeman Mbowe na mwanasheria mkuu Tundu Lissu waliiomba NEC kulaani kauli hiyo, lakini Mwenyekiti wa NEC Jaji mstaafu Damian Lubuva ameyatupa kando malalamiko hayo na kudai kuwa hiyo ni kauli ya kisiasa ya kutafuta ushindi na inaweza kutumika na upande wowote.


Hizi double standards hizi zina mwisho wake...
Na wewe mzee utakufa vibaya kama Kivuitu yule wa Kenya..!!
 
Nec haiwezi jibu kila mtu anayeongea majukwaani wengine ni mapimbi watajibiwaje
 
Back
Top Bottom