youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
- #81
Tz yenu kwa kudhulumu wengine halafu utegemee AMANI. YA WAPI???!!!
Roma kawashangaa "mnasherehekea uhuru!" uhuru uko wapi? uhuru wa kutowafilisi viongozi wakijiuzulu?
Tz yenu kwa kudhulumu wengine halafu utegemee AMANI. YA WAPI???!!!
Anaweza akasema chochote asubiri uchaguzi uishe atangaze tofauti na matokeo halali aijue nguvu ya umma. Mwenzie wa Kenya aliesema hata hajui nani alieshinda hadi leo bado anakimbia.Sasa wanapelekwa mahakamani kwa kutumia nembo ya M4C iliyosajiliwa kisheria na chadema akawaambie majudge waitupilie mbali na hiyo.
Hebu ukawa kwenye majukwaa elezeni pia kuwa nanyi hamtakubali hata kwa panga mtaingia ikulu, tuone kama NEC haitajibu
Una uhakika ngani ukawa watashinda??? Subiri kura zipigwe kwanza yeyote anaweza kushinda. Kwa nini unaanza kujiandaa kukataa matokeo???
Mkuu hakuna mahali niliposema kuwa Upinzani watashinda. Ninachosema ni serikali iliyopo madarakani ndiyo yenye uwezo wa kulinda au kuharibu amani iliyopo. Kama CCM watashinda well and good ............... lakini hili la kutishana kuwa wapinzani wakishinda hatutakuwa na amani ni upungufu wa akili. Mbona Nigeria, Ghana, Kenya na Zambia ambako wapinzani wameshinda bado kuna amani!!? Why us!!? Jeshi la Wananchi ni lilelile, Jeshi la Plisi ni lilelile, Usalama wa Taifa ni uleule, Magereza, JKT you name it ............ will be the same people. Sasa kwa nini amani ipotee!!?
Tatizo langu ni Magufuli kutufananisha na Libya ya Sadam ......................!!!
Samuel Kivuitu waala hakukimbia sana...jamaa umauti ulimkuta