youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
- Thread starter
- #61
Humu jf kweli kuna akili ndogo nyingi sana, najiuliza kweli kuna GT wa ukweli humu? Hapana haiwezekani watu msione tatizo la kauri ya bulembo kiongozi wa chama tawala chenye dola na kila kitu kiseme hatuwezi kuwaruhusu upinzani kwenda ikulu, wakati kauri kama hizi yanapotokea machafuko ndo hutumika kama ushahidi kule ICC
we waache waneng'eneke tu, hawajui kitakachoendelea likitokea tatizo.