Futeni basi na chama watanzania wajue hakuna upinzani,,, au mnamalizia ruzuku mpk 2020. ShameWeka panga na mtutu pembeni Kwanza halafu ndo tuongee siasa unataka kutengeza akina ben saa 8, daudi mwangosi, mawazo nk wangapi??? They were real people just like you and l. who cares about their families now