Wakusini
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 805
- 609
Hapo sawa,kumbe kujifariji ni muhimu,maana hata lipumba umesema anasema atashinda hapo nimeelewa logic yako kuwa huwez kujikatia tamaa hata kama ukweli unaujua. Moyoni mwako unajua lisu atashinda ila hatatangazwa.Sera mbadala zipo, Ila masikio yako na hisia zako zimejikita zaidi kwenye mambo yanayokuumiza ww na mgombea wako. Kwa taarifa yako hata Membe na Lipumba wanasema watashinda, hiyo ndio maana ya ushindani. Kuna matusi na ukweli unaoumiza, jitahidi kutenganisha haya mambo mawili.
Nchi hii ina miaka 6 na raia 59m+, mpaka sasa waliokuwa marais ni watano tu, hivyo tukitazama hiyo ratio ya miaka na watu, kuwa rais ni bahati zaidi kuliko uwezo. Hivyo iwapo atashindwa kihalali hakuna mwenye tatizo na hilo, maana hiyo ni kanuni sahihi ya ushindani. Suala la yeye kuwa rais halitegemei matamanio yako, bali kura za wananchi.