Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Habari nilzopata sasa hivi ni kwamba NEC imekisimamisha Chadema kufanya kampeni katika jimbo la Maswa. Hiyo imemuaffect Marando ambaye amezuiwa kuingia Maswa kufanya kampeni.
Habari nilzopata sasa hivi ni kwamba NEC imekisimamisha Chadema kufanya kampeni katika jimbo la Maswa. Hiyo imemuaffect Marando ambaye amezuiwa kuingia Maswa kufanya kampeni.
marando amenithibitishia hilo
kuna hila mana shibda hausiki na kesi wala mauaji sasa adhabu ya nini?
bado wanalifanyia kazi
amezuiwa kuingia maswa au kufanya kampeni?? nijuavyo mimi hata kama wamesitisha kampeni, bado marando ana haki ya kwenda popote tanzaniaHabari nilzopata sasa hivi ni kwamba NEC imekisimamisha Chadema kufanya kampeni katika jimbo la Maswa. Hiyo imemuaffect Marando ambaye amezuiwa kuingia Maswa kufanya kampeni.
marando amenithibitishia hilo
kuna hila mana shibda hausiki na kesi wala mauaji sasa adhabu ya nini?
bado wanalifanyia kazi
Acha ujinga. Pumba zako zipeleke CCM. Labda NEC ya CCM