What the F is this sh.t...
Chicken head.
komaa mkuu, kuwa na political tolerance, matusi hayasaidii kitu, kuna kamsemo kanasema "dying without bitterness" kwa kiswahili nnaweza kukafananisha na "sikio la kufa halisikii dawa"
tulikuwa tunaisema CCM inatumia hoja ya nguvu, huku CHADEMA ikijipambanua kwa nguvu ya hoja, days has gone CHADEMA is now practicing hoja ya nguvu, likewise CCM. CHADEMA bado inanafasi kubwa sana kwenye jamii ya mtanzania, bado kuna nafasi ya kukaa chini kutafakari, kujirekebisha na kusonga mbele, unlike CCM ambayo nothing can be done to rescue it.
"truth will set you free"