NEC Yakemea Mikusanyiko Kulinda Kura

NEC Yakemea Mikusanyiko Kulinda Kura

Kakke

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2010
Posts
1,883
Reaction score
1,483
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi akemea hatua ya viongozi wa kisiasa kushawishi wafuasi wao wasiondoke eneo la kupigia kura huku akibainisha ni kinyume cha taratibu zakisheria.

 
Last edited by a moderator:
Tume ikiwa haiko huru matatizo yake ni haya , Vipi timu moja kati ya hizo mbili iloko kwenye league ichague rifa wake halafu tuweze kumkubali ? lazima kutakua na upendeleo , haya yote na hayo yatakayo jiri au kutokea Masi JK na mkuu wa tume ndie mwenye kubeba lawama wa kwanza.
 
Tume hii itasababisha watu kuuana. Ubinafsi wao wa kuangalia matumbo yao itatuletea maafa kama Taifa. Amani ni tunda la HAKI.
 
Mbona Wamekomaa Kwa Ktk Kulinda Kura Tu!! Mbona Huku Mikoa Ya KANDA YA ZIWA KAMPENI Za Magufuli Anaongea Kisukuma Na Hivi Sasa Na Charles Kitwanga Naye Anakoroga Kisukuma!! Hata Tumeshindwa KUELEWA!! Hivyo Tunasepa Tu!! Ohoo Kumbe Bado Show Ya Fiesta!! Ngoja Tuione Ya Funga Mkutano!!
 
200m nje ya Kituo baki, hata mimi nitabaki
 
Mbona Wamekomaa Kwa Ktk Kulinda Kura Tu!! Mbona Huku Mikoa Ya KANDA YA ZIWA KAMPENI Za Magufuli Anaongea Kisukuma Na Hivi Sasa Na Charles Kitwanga Naye Anakoroga Kisuwykuma!! Hata Tumeshindwa KUELEWA!! Hivyo Tunasepa Tu!! Ohoo Kumbe Bado Show Ya Fiesta!! Ngoja Tuione Ya Funga Mkutano!!

Nenda kwenu Dongobeshi,unatafuta nini Kanda ya ziwa, si mnataka serikali za majimbo?
 
Tume ingekua ina watu kutoka vyama vyote sawa sheria ya mita 100 izingatiwe
 
Tume ifuate sheria inasemaje aidha kama hawtaki tuwepo 200m matokeo watantangazia nani? Ulinzi wa kura zetu uko palepale kuzuia goli la nkono.
 
Hivi Rais anaweza kuvunja/kuondoa sheria au kanuni zilizopitishwa na bunge kutokana na yeye kuwa head of state?
 
Nitahesabu hatuna 200 na kupiga kambi kusubiri kutangaziwa matokeo ndiyo sheria inasema.siyo matakwa yangu in sheria ya bunge, in kutii sheria bila shuruti bannnnaaaa
 
Hili suala si liko mahakamani mbona Mh Jaji anavunja kanuni za kimahakama?
 
Tume ikiwa haiko huru matatizo yake ni haya , Vipi timu moja kati ya hizo mbili iloko kwenye league ichague rifa wake halafu tuweze kumkubali ? lazima kutakua na upendeleo , haya yote na hayo yatakayo jiri au kutokea Masi JK na mkuu wa tume ndie mwenye kubeba lawama wa kwanza.

Huu utoto sasa, mlikuwa wapi tangia 2010?
 
Bulembo kasema jk kama amiri jeshi mkuu amekataa watu kukaa m200..kwa hiyo sijui ndo vichapo vitaamriwa..yetu machoo
 
Nafikiri mahakamani wanatafuta tafsiri tu na siyo kutengua sheria!

Ndiyo maana Nafikiri ni vyema wakanyamaza wote ili tusubiri tafasiri hiyo ya mahakama. Ninachoona wote wanajaribu ku-influence tafasiri yao kwa mahakama.
 
hakuna atakayebaki kituoni ila tutakaa mita200 toka kituoni kama sheria inavyoagiza
 
Back
Top Bottom