L Ladymilly JF-Expert Member Joined Aug 25, 2015 Posts 205 Reaction score 63 Oct 18, 2015 #21 Nitakaa mita 200 kulinda kura over
delusions JF-Expert Member Joined Jan 11, 2013 Posts 5,001 Reaction score 1,292 Oct 18, 2015 #22 Hivi una akili za wapi ulinde kura mataa shekilango kituo kipo mwenge huu ni uenda wazimu
Mfilisti JF-Expert Member Joined Sep 24, 2015 Posts 3,728 Reaction score 19,465 Oct 18, 2015 #23 mita kama 10 kutoka kituo changu kilipo kuna bar tumeamua kwenda kujiburudisha na ndovu za baridi siku ya jumapili huku tukilinda kura zetu. Kwani tume inakataza watu kukusanyika kwenye bar siku ya uchaguzi??
mita kama 10 kutoka kituo changu kilipo kuna bar tumeamua kwenda kujiburudisha na ndovu za baridi siku ya jumapili huku tukilinda kura zetu. Kwani tume inakataza watu kukusanyika kwenye bar siku ya uchaguzi??
strong ruler JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 4,919 Reaction score 3,313 Oct 18, 2015 #24 Piga kura linda kura.