NEC vs IEBC ref; 2020(Tanzania) and 2022(Kenya)

NEC vs IEBC ref; 2020(Tanzania) and 2022(Kenya)

Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Masuala ya uchaguzi hayawezi kukosa dosari. Kila Tume ina mahali imekuwa bora katika utendaji na kwa namna fulani ilipata changamoto. Tukiangalia mfano mmoja tu, Mgombea Urais anaenda kituoni halafu jina lake halipo katika mfumo kwa Tanzania ingekuwa nongwa kubwa. naiona fifty fifty tu!
 
NEC iko vizuri sana kwa kuwa tunaingia kwenye uchaguzi tukiwa tunajua mshindi ni nani
 
Huko Kenya kuna wagombea walioenguliwa?
 

Attachments

  • 20220810_083903.jpg
    20220810_083903.jpg
    35.8 KB · Views: 18
  • 20220810_082543.jpg
    20220810_082543.jpg
    56.3 KB · Views: 18
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Mkuu acha kulinganisha Big mind(Kenya) na average mind(Tanzania).Taifa la watu wanaokiheshimu chama kuliko nchi ukalinganishe na watu wanaoheshimu nchi kuliko chama.
 
Mkuu acha kulinganisha Big mind(Kenya) na average mind(Tanzania).Taifa la watu wanaokiheshimu chama kuliko nchi ukalinganishe na watu wanaoheshimu nchi kuliko chama.
Taifa la mazuzu, ndiyo mzee, zidumu fikra za mwenyeketi,
 
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Mm nikwambie ndugu yangu nchi hii Ina wasomi wengi kama tutaendelea kuongozwa na serikali ambazo wananchi hatuzichagui na tukaendelea kuzivumilia kama hz za kina mama Samia Basi ule usemi ambao mzee Jommo Kenyatta alimwambia Mwl.Nyerere kwamba anaongoza WAFU utakuwa wa kweli.Ni bora sasa kama tutakwenda kwenye uchaguzi bila tume huru Basi ni bora kukaa nyumbani kuliko kujifanya umekuwa tahira kwa kwenda kwenye uchaguzi wa kipumbafu usio na maana yoyote kwa maendeleo,yaani mtu anahimiza Sensa alafu suala dogo tu la MAFUTA limemshinda hv kiongozi kama hiyo anaweza nn hata akijua Idadi ya watu wake.
 
J
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
 
Kabla ya time huru tuanze na kupiga risasi wasimamizi wakuu wote wa uchaguzi 2020
 
Back
Top Bottom