NEC vs IEBC ref; 2020(Tanzania) and 2022(Kenya)

NEC vs IEBC ref; 2020(Tanzania) and 2022(Kenya)

Kinachofanyika Kenya, Tanzania inabidi tuone aibu. Hawa akina Mahera sijui Magufuli aliwatoa wapi?
Mliwahi kuambiwa Kuna wahuni wa mapangoni na bahati nzuri walisha JuanašŸ¤”,hata kuanza kutajanašŸƒ
 
Maji VS mafuta....Kenya Ile ni pure professional vote counting .most African countries wanatakiwa waende wajionee jinsi Fomu za matokeo zinavyopokelewa na kuwa in public na kila media or individual anaweza kujumlisha etc . Magavana, wabunge, maseneta etc wanakubali kushindwa uchaguzi kutokana na uwazi ulivyo Mpana.Kongole ziende kwa high court of Kenya kwa Miongozo thabiti kuepusha uchaguzi kurudiwa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tume ya Chebukati ni buure kabisa mkuu aheri hata ya tume yetu hii ya kuteuliwa na raisi aliye madarakani
Na mapungufu yake huwezi kufananisha tume ya uchaguzi ya serikali tz.. Na tume huru ya uchaguzi ya Kenya tmeona jinsi ilivyo chukuwa hatua kwa maofisa wa uchaguzi walioonekana wakiwa na faragha na baadhi ya wanasiasa kabla ya uchaguzi na tunaona jinsi ya mtitiriko wa matokeo yanavyo tolewa wacha tu wenzetu wako mbali sana inafaa tujifunze kutoka kwao.
 
Huku ni kulinganisha ibilisi na malaika. Ni ulinganifu usiostahili maana mwingine yupo kwaajili ya kumtumikia Mungu na mwengine kwaajili ya shetani. Watafanana kwa vigezo gani?

Uliwahi kufananisha embe na upupu?
 
Back
Top Bottom