NEC vs IEBC ref; 2020(Tanzania) and 2022(Kenya)

NEC vs IEBC ref; 2020(Tanzania) and 2022(Kenya)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
 
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Jo unasemea Ile ya mafweza na enzi za Jecha au Ubora Wa IEBC Jo 🏃
 
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Tume ya Chebukati ni buure kabisa mkuu aheri hata ya tume yetu hii ya kuteuliwa na raisi aliye madarakani
 
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Kinachofanyika Kenya, Tanzania inabidi tuone aibu. Hawa akina Mahera sijui Magufuli aliwatoa wapi?
 
Natafuta jina sahihi la kumuita Magu lakini silipati.
H Screenshot_20220809-222331.png uko aliko anyongwe hadi afe
 
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Tabia ya viongozi Tanzania kunifunza mambo mazuri ya uongozi ambayo nchi nyingine zinafanya haijaenea sana. Tusubiri tuone kama hao viongozi watabadilika safari hii. Bila shaka mmeona Waziri wa Mambo ya Nje alivyomjibu mwandishi wa habari wa Ulaya Magharibi kuhusu msimamo wa Afrika kuhusu ugomvi wa kimataifa uliopo Ukraine. Zamani misimamo kama hiyo ndiyo ilikuwa ya Tanzania!

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wale mlioshiriki Uchaguzi wa 2020 hapa nyumbani Tanzania na leo mmefuatilia Uchaguzi wa Kenya

Je, kuna haja ya Tanzania kupigania Tume Huru ya Uchaguzi au tuendelee tu na NEC yetu?

Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Tume ya Kenya wako very committed mbarali saana na tume ya Tanzania
 
Back
Top Bottom