Kwani Matokeo Yanabandikwa Saa Ngapi Na Wewe Unapiga Kura Saa Ngap?Vituo Vinafungwa Saa 10,kwanini Usiende Nyumbani Ukarudi Saa Muda Huo?Kama Sio Kutafuta Shari Nini?
naulza tu, kama wanadai watu waende nymban,je hay matokeo yanabandkwa nje ya ktuo anawekewa mbuz asome? tutabak tu
hujajibu ndugu, wanabandika ili iweje, ndege wasome?Inawezekana huu ndiyo uchaguzi wako wa kwanza matokeo yanabandikwa na msimamizi wa kituo wakishirikiana na mawakala wa vyama vya siasa na waangalizi wakiwepo.
Mwaka 2010 pale ubungo wasimamizi wa uchaguzi walitaka kulazimisha kuondoka na mabox ya kura na laptop iliyokuwa inatumika kwa ajili ya majumuisho ya kura ili wakachakachue baada ya kuona kwamba mgombea wa ccm amepigwa china. Kama isingekuwa vijana wanamsapoti Mnyika waliokuwa wamebaki hapo kituoni story ya mshindi wa ubunge ingekuwa nyingine. Mimi naamini kama haki itatendeka hakuna hata mmoja atakayeleta fujo. Fujo zitaletwa na ccm kutaka kulazimisha ushindi kama ambavyo imekuwa kawaida yao sehemu nyingi hapa nchini wakati wa uchaguzi. Mwaka huu wanaona wamekamatika kwelikweli na ndio maana wanalazimisha watu kuondoka vituoni ili kama ikiwezekana iwe rais kuiba kura kwa njia wanayoijua wao.
Baada ya Rais kutishia kuwakamata watakaobaki vituoni baada ya kupiga kura, wana CCM wameshangilia na wengine kuanza kuwa na matumaini. Kwa nini? Tafakari haya:
- CCM ni wezi wa kura, UKAWA ni walinzi wa kura
-Tuhuma Za siku nyingi kuwa CCM wanaiba kura, zimethibika pasipo shaka
kama rais angekuwa anasema watu watoke ili wassibe kura, ningeelewa.
Tunasogeza moto karibu na petroli.
Kifungu cha 104(1) cha sheria za uchaguzi,sura ya 343 kinasema;
Mtu yoyote haruhusiwi kufanya mkutano siku ya uchaguzi au ndani ya majengo ambako upigaji kura unaendelea au sehemu yoyote ndani ya mita 200 ya jengo hilo akiwa amevaa au kuonyesha bango,picha au nembo kwa ajili ya kumpigia debe mgombea kwenye uchaguzi huo.
Wataalamu wa sheria naomba tafasiri ya sheria hii?