NEC, kwanini hadi sasa jimbo la Arusha Mjini hakuna aliyeitwa kwenye usaili wa kusimamia Uchaguzi Mkuu?

Nimemshangaa sana!! Mimi kuuliza swali lingine yeye kajibu vingine....
Mkuu tambua humu kuna watu wamewekwa kwa kazi maalumu ya kuvuruga mijadala yenye maslahi mapana kwa taifa na huwa wanacomment mwanzo kabisa ili ku shift attention ya wachangiaji

Ukishawajua dawa yao ni ku ignore tu
 
Ndo nimetambua mkuu.
Mkuu tambua humu kuna watu wamewekwa kwa kazi maalumu ya kuvuruga mijadala yenye maslahi mapana kwa taifa na huwa wanacomment mwanzo kabisa ili ku shift attention ya wachangiaji

Ukishawajua dawa yao ni ku ignore tu
 
Shilingi 35,000 ndio inakunyima usingizi?, tumeweka vijana wetu wa form 4, ambao hawawazi suala la ajira, tungeweka wa vyuo vikuu wangebadili matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…