Nilifurahishwa na kauli ya nec makao makuu kwamba wanaweka kipaombele kwa vijana kiuongozi!nimepata mashaka na kauli hii kwani inaonekana kuwa kiini macho kwa watz!nabaki na maswali ambayo labda wana jf mlio na uelewa mnaweza nijibu!
1.hivi t'zo ndani ya serikali ya ccm ni wazee?mbona hakuna mzee aliewahi kubainishwa ndani ya chama kama ni mzembe?
2.mbona wazee wale watuhumiwa wa ufisadi wameendelea kuachwa kwenye chama?(lowasa et al)
3.mbona wengi waliopitishwa ni either watoto wa viongozi/kutoka koo za viongozi?
4.mbona vijana wengi bado wanatajwa kwenye kashfa za ufisadi?(ngeleja,maige et al)
TATIZO KUBWA NI CCM YENYEWE!THERE'S NO WAY TO MAKE IT CLEAN!IT SHOULD THEREFORE GO!
1.hivi t'zo ndani ya serikali ya ccm ni wazee?mbona hakuna mzee aliewahi kubainishwa ndani ya chama kama ni mzembe?
2.mbona wazee wale watuhumiwa wa ufisadi wameendelea kuachwa kwenye chama?(lowasa et al)
3.mbona wengi waliopitishwa ni either watoto wa viongozi/kutoka koo za viongozi?
4.mbona vijana wengi bado wanatajwa kwenye kashfa za ufisadi?(ngeleja,maige et al)
TATIZO KUBWA NI CCM YENYEWE!THERE'S NO WAY TO MAKE IT CLEAN!IT SHOULD THEREFORE GO!