Huko CCM kuna bomu linatokota. Bomu hili linaitwa kwa majina tofauti. Umaarufu wake 'WAJUMBE"
Ni wazi kuwa kuna mchanganyiko wa sababu. Zikiwemo mtifuano wa CCM mpya na kongwe.
Rushwa na nguvu ya pesa.
Vita ya madaraka kuelekea 2025 ndani ya CCM.
Amini kwamba maamuzi ya Kamati kuu kuhusu wajumbe waliopitishwa yataleta madhara mbali mbali na itategemea hoja hizo tatu na vipi chama kama kilipokea taarifa sahihi kutoka chini.
Mkiwaamini TAKUKURU mjuwe wako walionunuliwa na wao vile vile wana mapenzi yao na watu wao kwenye chama.
Malalamiko ni mengi na mchanganyiko.
Kuna hatari Kamati kuu ikawa na wajumbe ambao wote wakawa na mlengo mmoja wa ama kuwa wanaunga mkono WANA CCM MPYA, ama wanaojipanga kuweka safu mpya ya madaraka baada ya utawala wa sasa na hivyo kwa namna moja ama nyengine kuathiri mchakato na kuacha uhalisia huko majimboni.
Kauli za Mwenezi Polepole sio kwamba zinaashiria kukoleza joto la kufyatuka kwa fyuzi lakini ziaashiria vile vile kuifanya fyuzi ikomae zaidi.
Huko majimboni kuna habari nyingi na kutegemea taarifa za TAKUKURU PEKEE na wale vijana wea Usalama wa chama bila kuwa na njia nyengine si rahisi UKWELI kujulikana kutokana na mazingira ya sasa.
Hapa tunataka kupima umakini wa viongozi wa CCM. Kilicho wazi kweli rushwa imetumika sana mara hii LAKINI na Fitna ya CCM mpya na Kongwe ndiyo sababu kuu. Kunahitajika maamuzi sahihi na kuwepo taarifa sahihi.
Wako watu wanaomuunga Mkono Mwenyekiti na wameshika nafasi nyeti serikalini lakini kwenye mchakato walitoa rushwa ya wazi na hao hao ndio CCM mpya. Je, jicho la haki litasimamia ukweli?
Tunasubiri muda uhukumu.
Tunawatakia maamuzi mema.
"Kweli wajumbe sio watu"
Kishada
Ni wazi kuwa kuna mchanganyiko wa sababu. Zikiwemo mtifuano wa CCM mpya na kongwe.
Rushwa na nguvu ya pesa.
Vita ya madaraka kuelekea 2025 ndani ya CCM.
Amini kwamba maamuzi ya Kamati kuu kuhusu wajumbe waliopitishwa yataleta madhara mbali mbali na itategemea hoja hizo tatu na vipi chama kama kilipokea taarifa sahihi kutoka chini.
Mkiwaamini TAKUKURU mjuwe wako walionunuliwa na wao vile vile wana mapenzi yao na watu wao kwenye chama.
Malalamiko ni mengi na mchanganyiko.
Kuna hatari Kamati kuu ikawa na wajumbe ambao wote wakawa na mlengo mmoja wa ama kuwa wanaunga mkono WANA CCM MPYA, ama wanaojipanga kuweka safu mpya ya madaraka baada ya utawala wa sasa na hivyo kwa namna moja ama nyengine kuathiri mchakato na kuacha uhalisia huko majimboni.
Kauli za Mwenezi Polepole sio kwamba zinaashiria kukoleza joto la kufyatuka kwa fyuzi lakini ziaashiria vile vile kuifanya fyuzi ikomae zaidi.
Huko majimboni kuna habari nyingi na kutegemea taarifa za TAKUKURU PEKEE na wale vijana wea Usalama wa chama bila kuwa na njia nyengine si rahisi UKWELI kujulikana kutokana na mazingira ya sasa.
Hapa tunataka kupima umakini wa viongozi wa CCM. Kilicho wazi kweli rushwa imetumika sana mara hii LAKINI na Fitna ya CCM mpya na Kongwe ndiyo sababu kuu. Kunahitajika maamuzi sahihi na kuwepo taarifa sahihi.
Wako watu wanaomuunga Mkono Mwenyekiti na wameshika nafasi nyeti serikalini lakini kwenye mchakato walitoa rushwa ya wazi na hao hao ndio CCM mpya. Je, jicho la haki litasimamia ukweli?
Tunasubiri muda uhukumu.
Tunawatakia maamuzi mema.
"Kweli wajumbe sio watu"
Kishada