Sakapara
JF-Expert Member
- Jun 24, 2019
- 299
- 397
Sijambo mjukuu. Vitukuu vyangu havijambo?
Wazima wote khofu kwako mkuu wangu
Sijambo mjukuu. Vitukuu vyangu havijambo?
Unapata wapi moyo wa kutumia hiyo avatar?
Wameandaliwa karanga na ubuyu kama kawaida.
Ila baadhi ya walimu ni bahili sana. Na hiyo mentality ya ubahili , baba jesca imemuathiri sana.Kali ilikuwa ile ya pipi kufua na maji ya kunywa