Kila la kheli Mwenyekiti. Mwakani usinikate tafadhali
Uchaguzi serikali za mitaa!!
wenyewe wansema ni kikao cha maadili.
Kwamba zile spika kwa nini zinampigia kelele kijanawenyewe wansema ni kikao cha maadili.
kwanini Membe anaongea wakati wa kula?Kwamba zile spika kwa nini zinampigia kelele kijana
Mkuu wa Mkoa wa Zanzibarwenyewe wansema ni kikao cha maadili.
Kikao cha wachawi. Wanajadil namna ya kutupiga 2.4 trillion nyingine.Mungu tusaidie.Wachawi
Sijambo mjukuu. Vitukuu vyangu havijambo?