Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,904
- 1,363
Baada ya kutoa idadi ya vituo sasa tupatieni majina ya vituo hivyo, Tume tumieni website yenu vizuru kuweka taarifa kama hizi, au hamna utaalamu?
Uchambuzi murua.Ndugu,
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kailima Ramadhani- amefafanua jinsi mabavyo Tume ya taifa ya uchaguzi ilivyo gawanya vituo vya wapiga kura kote nchini. Katika ufafanuzi huo amefafanua mambo makuu Mawili.
-
1. Namna ambayo siyo sahihi ya kuhesabu vituo vya wapiga KURA kama walivyo fafamua baadhi ya watu, Ambayo ni namna ya KUPOTOSHA NA NI UWONGO, na
-
2. Namna SAHIHI- ya kuhesabu vituo kama tume ye taifa ya uchaguzi ilivyo hesabu. Nia hii inazingatia mambo yafuatayo.
i). KUTUO HAKITAZIDI WATU 450
ii). KITUO KINAWEZA KUWA NA IDADI CHINI YA WATU 450
ILI WATU WALIOJIANDIKISHA KITUO KIMOJA WASIHAMISHWE KWENDA KUJAZIA ENEO JINGINE.
-
Itakuwa hivi.
Endapo kuna eneo ambalo watu waliojiandikisha ni 1900 Tume ya taifa ya uchaguzi itagawanya watu kama ifuatavyo:-
450+450+450 = 1300
1900-1300 = 550
550 gawanya kwa 2 = 275
-
KWA HIYO MAHALI PENYE WAPIGA KURA 1900
PATAKUWA NA VITUO VITANO (5)
-
1. KITUO CHA KWANZA WATU 450
2. KITUO CHA PILI WATU---------- 450
3. KITUO CHA TATU WATU------- 450
4. KITUO CHA NNE WATU--------- 275
5. KITUO CHA TANO WATU------ 275
JUMLA------------------------------------------- 1900
-
ZINGATIA
Kutokana na kuwepo kwa vituo vyenye idadi ya watu chini ya 450 kumefanya idadi ya vituo iwe kubwa.
--
HAKIKI KADI YA MPIGA KURA
http://voters.nec.go.tz:8081/vote
SMS
+255(0)772 55 55 53
LISTEN LIVE
Focus Radio Tz
Tume ya Taifa Ya Uchaguzi Tanzania
YOUTUBE / TV
http://bitly.com/1Leujup
VIPINDI VYA REDIO
TUME_YA_TAIFA_YA_UCHAGUZI - Music - HulkShare
http://bitly.com/1zIiIkq
http://bit.ly/1678Vq2
BLOG
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TANZANIA -
WEBSITE
Mwanzo ::Tume ya Taifa ya Uchaguzi