Kuna watu hawataki kufikirisha mbongo zao!hatuna aman tuna utulivu tuu, mada yko umeileta kishabiki huna jipya kikubwa umekurupuka
Kuna watu hawataki kufikirisha mbongo zao!hatuna aman tuna utulivu tuu, mada yko umeileta kishabiki huna jipya kikubwa umekurupuka
Haki kwanza amani baadaye!!
Bukama Batoko kwan ww ulikua unaelezea idadi ya wapiga kura au ushindi wa magufuli??? n waz kwamba elimu yko haijakukomboa kama ulitaka kuelezea ushindi wa magifili ungeeleza kwa data hzo asilimia 69 zinatoka wp kingine narudia tena n ushabik na mkumbo kwa sababu kuelezea idadi ya wapigakura na ushindi wa magufuli ni dhair umekosea mambo hayaendi ivo
Baada ya kupiga kura tu mimi na familia yangu natafuta mahali pa kwenda kujificha mbali kabisa na mji maana haya mnayoendelea na kuyaamasisha humu ndani wengine yatatuletea shida kubwa sana na hasa ukizingatia tunawatoto wadogo wengine ni wachanga bado wananyonya. Ee MUNGU eeeeeeee....rehemu Tanzania na watoto wangu!!!
Katika magazeti ya leo Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) amenukuliwa akisema kuwa:
1. jumla ya vituo vya kupigia kura ni 64,736
2. Kila kituo kitakuwa na wapigakura 450.
3. jumla ya wapiga kura waliothibitishwa ni 23,254,485 (22,751,292 (Bara), 503,193 (Zanzibar)
Ukokotoaji:
1. jumla ya wapiga kura (23,254,485) ugawe kwa idadi ya wapiga kura kila kituo (450) = 51,677
Hii ina maana kwamba, vituo vilivyohitajika kupigia kura ni 51,677 tu na sio 64,736. hii ina maana kuna nyongeza ya vituo 13,059. HIVI NI VITUO 'HEWA'? vya nini na kwa faida ya nani?
2. Ikiwa kila kituo ni watu 450 na vituo hewa ni 13,059, hii ina maana kuwa jumla ya wapiga kura katika 'hewa' (Maruhani) ni 450x13,059 = 5,876,555. Maruhani karibu milioni 6 watapiga kura! wanatoka wapi? nani atawaleta? kwa faida ya nai? je tume inawahitaji hawa?
3. Kwa idadi ya vituo 64,736 na wapiga kura 23,254,485, maana yake ni kuwa kila kituo kinapaswa kuwa na watu 360 tu, na sio 450 kama tume inavyotueleza.(chukua idadi ya wapiga kura ugawe kwa idadi ya vituo vya kupigia kura vya NEC - 450). hII INA MAANA KUWA kwa kila kituo kutakuwa na nyongeza ya watu (Maruhani) 90 (450-360). tunajiuliza, hawa wameongezwa kwa faida ya nani?
4. Ikiwa idadi ya vituo ni 64,736 na kila kituo wapiga kura 450, hii ni sawa sawa na idadi ya wapiga kura 29,131,200 (64,736x450). maana yake ni kuwa wapiga kura waliozidi (kutoka 23,254,485) ni 5,876,715.
NB: Tume itoe maelezo ya kina na watuambie wametumia 'calculation' za mtaala wa hesabu wa nchi gani ambao ni tofauti kabisa na huu wa kwetu?
Mwl. D. Kitwana
TUDARCo.
labda ukamcharaze mamako sio wapiga kura. nyumbu weweMleta Mada ni Kilaza wa kutupa. Hivi unataka kuniambia waliojiandikisha wote watapiga kura? Je, ikitokea kila kituo wasifikie 450 mtalalamika pia? na je kila sehemu ya kujiandikisha ilipata wastani sawa wa watu 450 kutengeneza jumla kuu? Hangaikeni tu, mkileta fujo tunawacharaza. Hatuwezi iacha nchi iharibike kwa Ulo.fa wenu wa kufikiri.
Ndugu,
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kailima Ramadhani- amefafanua jinsi mabavyo Tume ya taifa ya uchaguzi ilivyo gawanya vituo vya wapiga kura kote nchini. Katika ufafanuzi huo amefafanua mambo makuu Mawili.
-
1. Namna ambayo siyo sahihi ya kuhesabu vituo vya wapiga KURA kama walivyo fafamua baadhi ya watu, Ambayo ni namna ya KUPOTOSHA NA NI UWONGO, na
-
2. Namna SAHIHI- ya kuhesabu vituo kama tume ye taifa ya uchaguzi ilivyo hesabu. Nia hii inazingatia mambo yafuatayo.
i). KUTUO HAKITAZIDI WATU 450
ii). KITUO KINAWEZA KUWA NA IDADI CHINI YA WATU 450
ILI WATU WALIOJIANDIKISHA KITUO KIMOJA WASIHAMISHWE KWENDA KUJAZIA ENEO JINGINE.
-
Itakuwa hivi.
Endapo kuna eneo ambalo watu waliojiandikisha ni 1900 Tume ya taifa ya uchaguzi itagawanya watu kama ifuatavyo:-
450+450+450 = 1300
1900-1300 = 550
550 gawanya kwa 2 = 275
-
KWA HIYO MAHALI PENYE WAPIGA KURA 1900
PATAKUWA NA VITUO VITANO (5)
-
1. KITUO CHA KWANZA WATU 450
2. KITUO CHA PILI WATU---------- 450
3. KITUO CHA TATU WATU------- 450
4. KITUO CHA NNE WATU--------- 275
5. KITUO CHA TANO WATU------ 275
JUMLA------------------------------------------- 1900
-
ZINGATIA
Kutokana na kuwepo kwa vituo vyenye idadi ya watu chini ya 450 kumefanya idadi ya vituo iwe kubwa.
--
HAKIKI KADI YA MPIGA KURA
http://voters.nec.go.tz:8081/vote
SMS
+255(0)772 55 55 53
LISTEN LIVE
Focus Radio Tz
Tume ya Taifa Ya Uchaguzi Tanzania
YOUTUBE / TV
http://bitly.com/1Leujup
VIPINDI VYA REDIO
TUME_YA_TAIFA_YA_UCHAGUZI - Music - HulkShare
http://bitly.com/1zIiIkq
http://bit.ly/1678Vq2
BLOG
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TANZANIA -
WEBSITE
Mwanzo ::Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Kwa ufafanuzi huu nimeelewa sasa, nilikua najiuliza sana tuhuma kama hizi za kujibiwa haraka na tume kwanini hua zinacheleweshwa kujibiwa, Tume inapaswa kuwapongeza sana Ukawa, kwani ni sawa na darasani mwanafunzi anayependa sana kumuuliza maswali mwalimu wake hapaswi kuchukiwa zaidi huyo mwanafunzi atakua anafanya vizuri zaidi ingawa baadhi ya wanafunzi watakua wanamchukia huyo mwanafunzi kwa kujihisi kua wao wanaelewa haraka sana kisa tu eti labda mwalimu ni mjomba wake au kaka yake... Hivyo ni vizuri NEC ikawapongeza chadema/ukawa kwasababu kupitia malalamiko yao wananchi kupitia tume ya uchaguzi tumepata kujua mambo mengi ya msingi, Embu imagine vyama vyote vingekua kimya kama ccm kwa kuona kila kitu kiko sawa kuhusu tume tungekua tunaelewa nini kuhusu hizo tuhuma zote ambazo ukawa wanajitahidi kupambana na NEC..?Ndugu,
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kailima Ramadhani- amefafanua jinsi mabavyo Tume ya taifa ya uchaguzi ilivyo gawanya vituo vya wapiga kura kote nchini. Katika ufafanuzi huo amefafanua mambo makuu Mawili.
-
1. Namna ambayo siyo sahihi ya kuhesabu vituo vya wapiga KURA kama walivyo fafamua baadhi ya watu, Ambayo ni namna ya KUPOTOSHA NA NI UWONGO, na
-
2. Namna SAHIHI- ya kuhesabu vituo kama tume ye taifa ya uchaguzi ilivyo hesabu. Nia hii inazingatia mambo yafuatayo.
i). KUTUO HAKITAZIDI WATU 450
ii). KITUO KINAWEZA KUWA NA IDADI CHINI YA WATU 450
ILI WATU WALIOJIANDIKISHA KITUO KIMOJA WASIHAMISHWE KWENDA KUJAZIA ENEO JINGINE.
-
Itakuwa hivi.
Endapo kuna eneo ambalo watu waliojiandikisha ni 1900 Tume ya taifa ya uchaguzi itagawanya watu kama ifuatavyo:-
450+450+450 = 1300
1900-1300 = 550
550 gawanya kwa 2 = 275
-
KWA HIYO MAHALI PENYE WAPIGA KURA 1900
PATAKUWA NA VITUO VITANO (5)
-
1. KITUO CHA KWANZA WATU 450
2. KITUO CHA PILI WATU---------- 450
3. KITUO CHA TATU WATU------- 450
4. KITUO CHA NNE WATU--------- 275
5. KITUO CHA TANO WATU------ 275
JUMLA------------------------------------------- 1900
-
ZINGATIA
Kutokana na kuwepo kwa vituo vyenye idadi ya watu chini ya 450 kumefanya idadi ya vituo iwe kubwa.
--
HAKIKI KADI YA MPIGA KURA
http://voters.nec.go.tz:8081/vote
SMS
+255(0)772 55 55 53
LISTEN LIVE
Focus Radio Tz
Tume ya Taifa Ya Uchaguzi Tanzania
YOUTUBE / TV
http://bitly.com/1Leujup
VIPINDI VYA REDIO
TUME_YA_TAIFA_YA_UCHAGUZI - Music - HulkShare
http://bitly.com/1zIiIkq
http://bit.ly/1678Vq2
BLOG
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TANZANIA -
WEBSITE
Mwanzo ::Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Ndiyo maana unajiita "spea mkononi" utasubiri sana. Maana ya spea mkononi ni kwamba wewe ni mbovu kila mara upo taabani na unahitaji huduma mara kwa mara. Ndiyo maana hata mada mnaziunganisha kulingana na ninyi mnavyotaka siyo mtoa hoja anataka nini. Anyway, utajulikanaje na boss wako kama unafanya kazi? Mtumikie ------ ndg yangu upate kushibisha tumbo lako. Najua kazi yako imebakisha siku chache sana.
Katibu mwenezi wa ccm, Nape, alisemaje?Kama ni wafuatiliaji wa msuala ya Uchaguzi, issue hii ya bao la mkono iliulizwa pia na Dkt. Emmanuel Makaidi wa NLD pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dtk. W. Silaa wakati NEC na Vyama vya siasa walipokuwa wakijadili na kuandaa kanuni za uchaguzi wa mwaka huu.
NEC walisema kuwa wao hawana kitu kama hicho ni wanasiasa tuu wamejijengea dhana hiyo potofu.
Kwa mantiki hiyo huo ni woga na wanaoshadadia neno hilo ni wale ambao wanajua mwanzo na mwisho wao ni upi, wanatafuta sababu tu ili kujitetea kwa watu waliowaaminisha mwaka huu ni wao. Kajipangaeni bw. acheni kutuvuruga na mabao yenu.
Utakuwa umekula maharage sijui ya wapi.Punguza wasi wasi hakuna vituo hewa hapo! Kila kituo kinatakiwa kutozidi wapiga Kura 450 na sio lazima wawe 450 na pia kituo kimoja kinaweza kugaiwa mara mbili ili kupunguza msongamano!