NEC hii maana yake nini?

NEC hii maana yake nini?

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,078
Reaction score
1,227
Nimetuma maombi siku ambayo Tangazo limetoka , lakini leo katika pitiapitia zangu nkakuta na ujumbe huu kwenye Gmail account yangu. Je njia waliotumia watu kuomba hizi nafasi ni sahihi au nini kifanyike hawa ambao email zao hazikuwafikia NEC wapate kutuma maombi yao?
2019-06-04%2013.32.33.jpeg
 
Nimetuma maombi siku ambayo Tangazo limetoka , lakini leo katika pitiapitia zangu nkakuta na ujumbe huu kwenye Gmail account yangu. Je njia waliotumia watu kuomba hizi nafasi ni sahihi au nini kifanyike hawa ambao email zao hazikuwafikia NEC wapate kutuma maombi yao? View attachment 1117339
Hilo jina la hadija ungeliacha tu! kwani ni siri?
 
Nadhani waliweka public ili ku-justify uwazi usiokuwepo! Tuendelee kuwaombea ili nao siku moja V8 ziwe IST
 
Umeambiwa mailbox for user is full, subiri wapunguze email kwao, unaweza kujaribu tena.

it meant they're at that limit and can't receive any more until they delete some old mails
 
Nimetuma maombi siku ambayo Tangazo limetoka , lakini leo katika pitiapitia zangu nkakuta na ujumbe huu kwenye Gmail account yangu. Je njia waliotumia watu kuomba hizi nafasi ni sahihi au nini kifanyike hawa ambao email zao hazikuwafikia NEC wapate kutuma maombi yao? View attachment 1117339
Hili lilikuwa tatizo kweli mimi since day one nilikuwa natuma kila saa inasema hivyo kila nikishituka usingizini nashukuru Munguu baadae ikanikubalia siku ya jumamosi
 
dah hata mimi ni hivyo hivyo nimeona kwenye email aseeeeeee




mgoja kesho niwaibukie pale ofisini kwao posta maana hizi ni fursa kwa jobless vijana kama sisi ma degreeeee tumewekaaa kabatini.....
 
Jamani nawezaje kutuma maombi tusaidiane wakuu...!
 
Vyeti gani vinahitajika kwenye Kuapply???
 
Kesho sikukuu Boss
dah hata mimi ni hivyo hivyo nimeona kwenye email aseeeeeee




mgoja kesho niwaibukie pale ofisini kwao posta maana hizi ni fursa kwa jobless vijana kama sisi ma degreeeee tumewekaaa kabatini.....
 
Back
Top Bottom