msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,252
- 2,901
Ninajiuliza mara mbili mbili ni kipi kinawafanya cdm wasiende mahakamani kwa huyu jamaa anayejichanganya hivi nawokosea jibu. Hapo ndio ninasema Mbowe kachoka, na katibu wake mkuu ndio kichekesho cha karne, ni kweli hatuziamini mahakama, lakini kwa sasa ndio wangalau njia ya kudai haki.
acha kuropoka sasa hivi hakuna mahakama kuna kitengo kidogo cha maamuzi toka lumumba hata walete ushahidi wanamna gani hawawezi shinda ng'o ,kwa hiyo usifikiri CHADEMA vichaa wanajua hilo