NEC CCM IMEBARIKI MIKAKATI HII HARAMU?!

NEC CCM IMEBARIKI MIKAKATI HII HARAMU?!

VAPS

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2012
Posts
5,611
Reaction score
13,175
CCM ni chama chenye dhamana kubwa katika historia ya Taifa letu.
Iweje Mkakati wa kujenga chama,zitumike mbinu duni za kijima,zisizo na ubunifu zenye lengo ovu kubomoa umoja na ustawi wa taifa letu,mfano kununua na kushawishi viongozi wajiuzulu nyazifa?!;Kwa garama ya umoja wa taifa letu?!Kwa fedha na rasilimali za taifa?! Bila aibu waloanza madiwani wachache sasa wabunge; Mkakati ovu wa kijima kuua CUF; Kweli tunadharau chaguzi kwa ubabe,fitina za wazi?!
CCM imara yenye weledi tunaihitaji bado,NEC CCM, mnapotoa baraka kwa viongozi wenye mikakati duni,mnadhalilisha chama na Taifa,semeni hapana!
Mzuieni polepole na genge lake waache,haina tija na afya kwa Taifa! Najisikia aibu na fedheha kama Mtanzania leo taifa la 50... uhuru,mikakati ya kijima?!Wenye mapenzi mema na Tanzania tusinyamaze!Shame on them! Bomu mnalolipika soon litawalipukia,shida yangu,madhara ya bomu ni mtambuka,mjitambue
 
NEC ni kijani
Vyombo vya $ ni kijani
Mpaka hapo utakuwa ushapata jibu

Ova
 
Huku hali ya maisha ikiendelea kuwa ngumu wa Watanzania,wanatumia fedha za umma kuhonga wanasiasa,kutuaminisha kuwa wamefanya maendeleo.2020 hiyo hapo,fedha zimeishia kuhonga
 
Neki hazungumzi kwa sisiemu
 
CCM ni chama chenye dhamana kubwa katika historia ya Taifa letu.
Iweje Mkakati wa kujenga chama,zitumike mbinu duni za kijima,zisizo na ubunifu zenye lengo ovu kubomoa umoja na ustawi wa taifa letu,mfano kununua na kushawishi viongozi wajiuzulu nyazifa?!;Kwa garama ya umoja wa taifa letu?!Kwa fedha na rasilimali za taifa?! Bila aibu waloanza madiwani wachache sasa wabunge; Mkakati ovu wa kijima kuua CUF; Kweli tunadharau chaguzi kwa ubabe,fitina za wazi?!
CCM imara yenye weledi tunaihitaji bado,NEC CCM, mnapotoa baraka kwa viongozi wenye mikakati duni,mnadhalilisha chama na Taifa,semeni hapana!
Mzuieni polepole na genge lake waache,haina tija na afya kwa Taifa! Najisikia aibu na fedheha kama Mtanzania leo taifa la 50... uhuru,mikakati ya kijima?!Wenye mapenzi mema na Tanzania tusinyamaze!Shame on them! Bomu mnalolipika soon litawalipukia,shida yangu,madhara ya bomu ni mtambuka,mjitambue
Thibitisha kwa vielelezo madai yako kuwa ccm imefanya vitendo hivyo na kupelekea wabunge na viongozi wa vyama hivyo lijiondoa huko walikokuwa.
 
Thibitisha kwa vielelezo madai yako kuwa ccm imefanya vitendo hivyo na kupelekea wabunge na viongozi wa vyama hivyo lijiondoa huko walikokuwa.
Rejea polepole,timbwili cuf,madiwani/wabunge kujitoa,mbinu na mikakati ovu chaguzi nk
 
Back
Top Bottom