kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,234
- 9,504
Albadiri inafanya kazi bado vunja chungu ya Meru mtaisha
Sijawahi shawishika kuwa Murro ni mwandishi,japo kasomea uandishi! Elimu so makaratasi ya tuzo! Ni maarifa uliyopata mafunzoni na unavyoyatumia. Murro ni kapi!
Tangu akiwa msemaji( mropokaji nadhani sahihi zaidi),sikuwahi msikia akitoa taarifa yenye "akili".Waliomfungia walikuwa sahihi. Nitashangaa kama TFF wasio na taaluma ya upelelezi waliona kasoro wakachukua, hatua sembuse polisi na Sirro wanaojinasibu?
Bighairi=lichaKwanza Gerry anawajibia watuhumiwa yeye kama Nani kwao? Huyu apuuzwe!! SAMAHANI MKUU MTOA MADA NAOMBA UNISAIDIE MAANA YA MANENO HAYA KWENYE MAKALA YAKO KWA FAIDA YANGU NA YA WENGINE. 1. Maana ya BIGHAIRI 2 UBAGHAMU 3. UBAHALULI. 4. SHASHIMAMISHI. 5. SHANI 6. KADINDI 7. SHESHE
Niamini ktk uhuru wa maoni.Umeona ni eneo lipi la kuchambua,ni haki yako.Kumbuka nami Nina haki pia, hivyo " usinipangie" cha kujadili!.Ungewachambua Lema na Nassari. Na flashi diski yao. Ningekuona una credibility ya kuhoji. Ungezungumzia umuhimu Wa dereva WA Lisu kuja kuhojiwa na Polisi kama taratibu zinavyotutaka wote. Ningefurahi kuona una makini na uzalendo. Ungechambua umuhimu wa uzalendo vs press conferences za kila Siku na ukijua Muda unakwenda Maendeleo hayatusubiri. Ningekusoma. Ubwabwa wenu ni mmesahau Muro Sio kiongozi Wa Siasa Wa kundharau alikuwa awe Lema mtumishi wa MUNGU .huna credibility kwa kuwa uko biased hapa JFM hatutaki bavicha Au UVccm the nataka watoa mada zenye mwelekeo Sio taarabu. Lema aliimba taarabu na Muro akamalizia quid pro quo
Pia usomi wake ni uchwara.
Muro ni kati ya vijana wenye IQ ndogo ila walidondokewa na zali kwenda kusoma nje.
Mku nimemwelewa vizuri. Huyu kijana anashida ya akili hayuko vizuri
Kweli nimeamini ya kuwa majina huwa na maana kubwa kwa mtu husikaMuro anawaeleza msippenda kuyasikia ingawa yana ukweli
mwenye picha ya jerry muro akiomba ujumbe bavicha mwaka 2012 atuwekeeMmesahau huyo kijana hana kazi, alikua analenga uteuzi bahati mbaya hayumo. Huyu kijana alitaka kiki wikend nzima imuongelee, baht mbaya magu hapangiwi, kamwaga baraza leoleo