Ndumo ya Jerry Muro imejaa ngunja

Ndumo ya Jerry Muro imejaa ngunja

Amepata wapi kibali cha kuweka PC?
Huyu atakuwa ana tumiwa.
 
Muro na Lema wote wawili ni wapumbavu wa kupuuzwa ila sikujua Muro ni arrogant na mwenye majivuno namna ile. Pia usomi wake ni uchwara. Arguments alizotoa kwenye utetezi wake karibia zote hazina mashiko na zimesheni logical fallacies za kila aina. Alitakiwa ajibu tuhuma siyo kumshambulia mtoa tuhuma. Muro alitakiwa ajibu substance ya madai ya Lema kuwa anasupport ndoa za jinsia moja na siyo kuja na hoja kuwa Lema apambane kwanza na wabunge wawili wanawake wa CHADEMA anaowatuhumu kujihusisha na mapenzi ya kijinsia moja halafu ndiyo aje kwake.
 
Muro anawaeleza msippenda kuyasikia ingawa yana ukweli
 
Kwanza Gerry anawajibia watuhumiwa yeye kama Nani kwao? Huyu apuuzwe!! SAMAHANI MKUU MTOA MADA NAOMBA UNISAIDIE MAANA YA MANENO HAYA KWENYE MAKALA YAKO KWA FAIDA YANGU NA YA WENGINE. 1. Maana ya BIGHAIRI 2 UBAGHAMU 3. UBAHALULI. 4. SHASHIMAMISHI. 5. SHANI 6. KADINDI 7. SHESHE
 
Jerry Muro siku zote ni mropokaji tu tena uandishi wake wa habari unatia Shaka sana, kaongea pumba tupu sijasikia hoja yenye mashiko hata moja
 
Hivi nao waaandishi habari jaman mnaitwa na Murro mpate nini kwake zaidi ya ujinga usiouzika
 
Aliathirika jela ametumika sana kule akili na utashi vilibaki jela
 
Kwanza Gerry anawajibia watuhumiwa yeye kama Nani kwao? Huyu apuuzwe!! SAMAHANI MKUU MTOA MADA NAOMBA UNISAIDIE MAANA YA MANENO HAYA KWENYE MAKALA YAKO KWA FAIDA YANGU NA YA WENGINE. 1. Maana ya BIGHAIRI 2 UBAGHAMU 3. UBAHALULI. 4. SHASHIMAMISHI. 5. SHANI 6. KADINDI 7. SHESHE
Hizo ni metaphorical terms mkuu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Muro na Lema wote wawili ni wapumbavu wa kupuuzwa ila sikujua Muro ni arrogant na mwenye majivuno namna ile. Pia usomi wake ni uchwara. Arguments alizotoa kwenye utetezi wake karibia zote hazina mashiko na zimesheni logical fallacies za kila aina. Alitakiwa ajibu tuhuma siyo kumshambulia mtoa tuhuma. Muro alitakiwa ajibu substance ya madai ya Lema kuwa anasupport ndoa za jinsia moja na siyo kuja na hoja kuwa Lema apambane kwanza na wabunge wawili wanawake wa CHADEMA anaowatuhumu kujihusisha na mapenzi ya kijinsia moja halafu ndiyo aje kwake.
Kwa akili yako ya kawaida tu bila kuingiza itikadi huwezi kumlinganisha Ndugu Murro na Mh Lema.Its incomparable
 
Hii shakula mkuu....ngoja ikija pande za kaskazini tuitoe marinda...hatutakagi ujinga Sie...watu kama hawa tunakulaga tu
 
Jerry Muro ni semi-literate mmoja ambaye hajui wapi pa kuandika kwa herufi kubwa na wapi pa kuandika kwa herufi ndogo.

Somo la chekechea na darasa la kwanza. Ngazi ya msingi kabisa katika uandishi.

Ukitegemea achambue siasa za kitaifa kwa weledi utakuwa una kichaa kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom