Nduguyo Nikumbuke..

Swahilian

JF-Expert Member
Apr 28, 2009
591
66
Ukijua jambo jema unijuze ndugu yako...<br />
La kututia nguvu mwili sinifiche ndugu yako...<br />
Kama ni ilmu ya manufaa unifunze ndugu yako...<br />
Sinitenge kwa ulacho hata kidogo sinifishe njaa ndugu yako...<br />
Si kwako tu ukumbuke hata miye nifanye hayo kwako...<br />
Kwa uzima na umauti miye ntakuwa ndugu yako...<br />
Litokealo kwa uwezo wake mola, siye tuwe wastahimilivu...<br />
Nimekukumbuka ndugu yangu, apendapo yeye twaja kuonana tena...<br />
Amani, upendo na utulivu vitawale maisha yako...
Tuzidi kuwasiliana na salamu zangu nyingi kwa familia yako,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom