Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,515
Walikuwepo wafuasi wa CCM Kikwete akina FaizaFoxy , Undertaker et al hawa rasmi walikoma mwaka 2015 sababu zilizowafanya wakome kuwa watetezi wa CCM ni uongozi mpya uliokuja. Ulikuwa tofauti kiitikadi na wao.
Wakaibuka akina Mmawia , Bia yetu Kawe Alumni jingalao n.k hawa nao wakajiambatanisha na CCM hii ya Magufuli kwa sababu ya mfanano wa Itikadi,kabila n.k tunaamini 2025 nao watapotea wataibuka wanufaika wapya wa CCM hiyo na pengine watarudi wale wa 2005- 2015.
Chadema watu wake kwa asilimia 80 wamebaki ni wale wale ukiondoa waliondoka na Dr. Slaa na waliokuja na Lowassa na wengine pia wakaondoka naye.
Ukichunguza utagundua. Its all about maslahi. Nani anapata keki awamu hii na nani anakosa...
Wakaibuka akina Mmawia , Bia yetu Kawe Alumni jingalao n.k hawa nao wakajiambatanisha na CCM hii ya Magufuli kwa sababu ya mfanano wa Itikadi,kabila n.k tunaamini 2025 nao watapotea wataibuka wanufaika wapya wa CCM hiyo na pengine watarudi wale wa 2005- 2015.
Chadema watu wake kwa asilimia 80 wamebaki ni wale wale ukiondoa waliondoka na Dr. Slaa na waliokuja na Lowassa na wengine pia wakaondoka naye.
Ukichunguza utagundua. Its all about maslahi. Nani anapata keki awamu hii na nani anakosa...