Mqjiranni zetu wa Kenya kupitia kiongozi wa ODM kuitisha maandamano ya sio na Kikomo kila J. Tatu sio sahihi na Wala haito wasaidia zaidi ya kuteteresha usalama wa nchi na kuporomoa uchumi wenu.
Ni kweli maisha ni magumu lakini Ruto haja sababisha ugumu huo, sasa wanasiasa wa ODM wanataka kutumia fursa hiyo kuteteresha Serikali ya wananchi nadhani hiyo sio sawa.
Vurugu za Leo tu zimesababisha hasara kubwa ya uchumi wa Taifa, hii ni hatari zaidi.
Kiongozi wa ODM ndugu Raila anapaswa awe mzalendo kwa Taifa, akamewe kuhamasisha vurugu ama achukuliwe hatua kwa kuhamasisha maandamano ya vurugu.
Demokrasia sio kufanya vurugu Wala kuiba mali za watu, tusisingizie demokrasia.
Kinacho endelea na tulicho kishuhudia kwenye maandamano ni uhalifu mtupu!!!
Ni kweli maisha ni magumu lakini Ruto haja sababisha ugumu huo, sasa wanasiasa wa ODM wanataka kutumia fursa hiyo kuteteresha Serikali ya wananchi nadhani hiyo sio sawa.
Vurugu za Leo tu zimesababisha hasara kubwa ya uchumi wa Taifa, hii ni hatari zaidi.
Kiongozi wa ODM ndugu Raila anapaswa awe mzalendo kwa Taifa, akamewe kuhamasisha vurugu ama achukuliwe hatua kwa kuhamasisha maandamano ya vurugu.
Demokrasia sio kufanya vurugu Wala kuiba mali za watu, tusisingizie demokrasia.
Kinacho endelea na tulicho kishuhudia kwenye maandamano ni uhalifu mtupu!!!