waandalie na Mabibi (vigori) vya kuwapokea na kuwakaribisha.
Yaani wewe unaenda kinyume na taratibu za KIKURYA.
Penye L wenyewe wanaweka R ila wewe penye R unaweka L:help:
waandalie na Mabibi (vigori) vya kuwapokea na kuwakaribisha.
Yaani wewe unaenda kinyume na taratibu za KIKURYA.
Penye L wenyewe wanaweka R ila wewe penye R unaweka L:help:
ha! ha! ha! teh! teeeeee! nimecheka kigazeti. wakurya ni mapot. ukikutana na askali, mwanajesh. ujue ni mkurya. kasoro mgambo na askali magereza
Mkuu hiyo part ipo Forest mpya au ile ya zamani...
Ukitaja mitaa ya Forest unanikumbusha mbali sana, maana ndio wengine tumekulia maeneo hayo...kuanzia kule juu kwa Mhindi Kassim hadi huku chini hospitali ya Meta...halafu kuelekea mitaa ya Summer Night huko hadi kule shule ya Msingi Mapinduzi...