Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Ni katika kutaka kujua tu, mana nimeliona hili sehemu nyingi sana misikiti mingi utakuta wanajifunza karate, tena wengi wanao funzwa ni vijana wadogo.
Mfano, kuna msikiti mmoja pale Ilala bungoni na mwingine maeneo ya magomeni mwembe chai.
Hili limekaaje kwamba ni utamaduni wa dini, ama ni sheria au ni jambo ambalo lipo kimaandiko??
Lengo ni nini hasa?
Mana kwenye nyumba za Mungu Kama hizi kuonekana vitu Kama hivi inaweza ikatia mashaka kwa baadhi ya watu.
Naombeni ufafanuzi kwa wanao jua.
Mfano, kuna msikiti mmoja pale Ilala bungoni na mwingine maeneo ya magomeni mwembe chai.
Hili limekaaje kwamba ni utamaduni wa dini, ama ni sheria au ni jambo ambalo lipo kimaandiko??
Lengo ni nini hasa?
Mana kwenye nyumba za Mungu Kama hizi kuonekana vitu Kama hivi inaweza ikatia mashaka kwa baadhi ya watu.
Naombeni ufafanuzi kwa wanao jua.