Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Nilikua nawasifia sana lakini kwa style hii mtaendelea kulizwa sana na watoto wa Daresalam..
Umefuraaahi mkuu na wewe ni mwanamke wa Dar au.
huyo demu nae fala (kwa sauti ya mzee wa upako)Nilikua nawasifia sana lakini kwa style hii mtaendelea kulizwa sana na watoto wa Daresalam..
View attachment 824848
Jibu la huyo dada limenibariki
Hahahaha wasukuma bwana hamtaacha kututia aibu mpaka dunia inakwisha.nimejikuta ninaimba "wanaume tumeumbwa matesoooo kuhangaika"
yani pata picha jamaa alinyweaje na bora ilikuwa via text ingekuwa face to face ndo kajibiwa hvyo asingetongoza tena maisha yake yote
Kwani mkuu na wewe ni wa mikoani etaibu nimeona mimi
Hahahaha wasukuma bwana hamtaacha kututia aibu mpaka dunia inakwisha.
Inasikitisha sana...huyo demu nae fala (kwa sauti ya mzee wa upako)
Kwani siku hizi kuna kutongozana ?
Na wewe mkuu ni wa Dar?Jibu la huyo dada limenibariki
Dunia mpaka inakwisha....Waskuma n wajinga sana
Wa mkoani Mkuu.Na wewe mkuu ni Dar?
Hahahaha..Katia huruma