unaogopa ban yaani nimecheka sana mkuu,unatamani kumtukana ishu unaogopa ban!kam ningekuwa mode ningekuban kwa nia yako ovu kama vile red card zitolewavyo!Hivi mimi na wewe nani mjinga?
Nimeshauri apime dna kujua mtoto wa nani ujinga wangu uko wapi? Pita kushoto usinitafutie ban
[HASHTAG]#nottodaysatan[/HASHTAG]!
unaogopa ban yaani nimecheka sana mkuu,unatamani kumtukana ishu unaogopa ban!kam ningekuwa mode ningekuban kwa nia yako ovu kama vile red card zitolewavyo!
Watu hawajui mkeo tofauti na hawala au kademu kako huko pembeni ni suala la kufikiria pia. Niwape pongezi kwa kuweza kupata ujauzito mengi mtajipanga achana na maneno ya watu fuata moyo wako masterHabari wakuu,
Naamini ni wazima wa afya.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..
Ndugu zangu, nina miaka kadhaa tangu 6/2012 nimuoe shemeji yenu, tumekuwa tukihangaika kupata mtoto lakini mpaka mwaka huu ikawa imeshindikana bila mimi kuwa na shida yoyote na yeye mke wangu alikuwa na matatizo madogo dogo (majibu ya hosptal) ambayo tulishasolve lakini bado ikawa bado mtoto kupatikana.
Sasa kufikia tar 20/08/2016 tukashauriwa tumuone Dr. fulani hivi ni mtaalamu wa wanawake na alikuwa amesaidia wengi tu, Tarehe hiyo hiyo mke wangu alikuwa kwenye siku zake ndo ilikuwa inaanza alipewa dawa za siku 5 kila mwezi atapoingia bleed lakini kuanzia alipoanza kutumia hizi dawa kulikuwa na madiliko katika mwili wake uke unakuwa na ute wa kutosha wakati wa kukutana na wife, na Dr kutokana tarehe hizo alizoingia Bleed akatueleza kuwa kuanza Tar 01-05/09/2016 tuanze kukutana na mke wangu kwani si siku nzuri za kupata ujauzito.
Sasa hapa naomba wataalamu kuhesabu tarehe za mwanamke kushika Mimba wachukue nafas hasa huu wa siku 28 kufika tarehe 29 au 30/08/2016 nakumbuka nilikutana na mke wangu usiku kwa furaha tu.
Lakini kufika tareh 02/9 jioni mke wangu aliniomba ruhusa ya msibani lakini sikumjibu chochote ili badae kidogo niombe chakula ya usiku nikapewa lakini si kwa furaha kivile kama alinitengea tu nilipomaliza nikampa jibu kuwa hakuna kwenda msibani lakini asubuhi aliondoka kienyeji tu na akasafiri akaenda mkoani kwa hawara yake aliyekuwa anachat naye kwa siri sana.
Akaenda akalala naye{inauma} huko Jumamosi kuamakia Jumapili jioni ndo akaingia home nilimbana sana aeleze alipokuwa alikataa kusema japo tayari nilishajua kama wiki hivi alikubali baada ya ugomvi mkubwa sana tukasuluhisha nimamsamehe lakini baada wiki mbili alikuwa mjamzito lakini aliogopa kusema mojamoja kwangu mpaka siku ya 3 ndo kuniambia na mimi nikakataa na kumuuliza hii mimba ya nani? Anajibu yangu nikauliza kwanini na kipi vipi? Ooh yule mwanaume hasimamishi vizuri{inauma}
Sikukubali tareh 22/10/2016 tukaenda kuchek ultrasound ili nijue kama inaweza ku-calculate mimba hii ni ya siku ngapi lakini majibu ujauzito ni wa 7 weeks na siku kadhaa.
Sasa ndugu zangu naombeni ushauri ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?
Nipo njia panda ndugu yenu sina majibu kabisa please
Samahani kama nimechanganya au sijaeleweka sehemu maana natumia simu kuandika.
Asante.
nguvu ya kufyamba ndio ipi?ya kumpa mimba au?Kaka;
Naomba kutofautiana na wengi ka sio wote waliokushauri. Kwanza pole zangu kibao kwako kwa yalokupata. Pili, elewa kuwa hakuna mwanamume mwenye uwezo wa kusema wazi kuwa watoto hawa ni wangu. Tumefika pahala pa kusema; Kitanda hakizai kharam!! Upo hapo?? Maudhi huja pale mama mnakorofishana anakuambia; Usimgombeze mtoto wangu huyu, hujui nilivyo mpata miye. Ndo unaanza kuwaza, moja na moja ikawa 10.
Nakuomba, angalia maelewano yako na mkeo. Amekuvumilia muda mrefu saana tu kuhusu mtoto uliyeshindwa kumpatia. Sasa akafika pahala akaamua kujaribu nje ya ua. Akafanikiwa, sasa amerudi home na kukuambia mtoto mtarajiwa ni wako. Swali la kujiuliza, Je, unayo nguvu ya kufyamba?? Kama huna nguvu, vumilia ila mwombe kuwa, akizaliwa awe ndo wa mwisho kwenu. Mtakuwa mnahesabiwa kuwa mlizaaga mtoto mmoja. Ng'oa kizazi chake kabisa kabisa. Akubali hivyo kinyume na hapo atakuletea tena mwingine. Umeshajua wazi kuwa huna uwezo wa kumfyamba sasa ya nini kuendeleza ukoo usio wako??
Pili, akizaliwa mtoto, aandikwe jina lako, tuone ka atajitokeza kidume kuja kusema ni wake. Mambo haya yanahitaji uvumilivu kwani wewe unajua wazi kuwa huna nguvu ya kuleta kiumbe duniani. Sasa, kuficha aibu, pokea huyo mmoja tu na asije tena mwingine. Huyo mama akitaka kuendeleza kwa nguvu, jua hana jema na weye. Na uhusiano na jamaa yake akuhakikishie utakoma kabisa.
afwande;nguvu ya kufyamba ndio ipi?ya kumpa mimba au?
Duuuh hpo patata ndugu, hv mwanamke umemkataz kwnd mahal af aondoke kienyej na ukajua kabs kaend kumegwa af anarud kwa nani
kitanda hakizai kharamu, kama ni mke was halal I...... motto no wako.Habari wakuu,
Naamini ni wazima wa afya.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..
Ndugu zangu, nina miaka kadhaa tangu 6/2012 nimuoe shemeji yenu, tumekuwa tukihangaika kupata mtoto lakini mpaka mwaka huu ikawa imeshindikana bila mimi kuwa na shida yoyote na yeye mke wangu alikuwa na matatizo madogo dogo (majibu ya hosptal) ambayo tulishasolve lakini bado ikawa bado mtoto kupatikana.
Sasa kufikia tar 20/08/2016 tukashauriwa tumuone Dr. fulani hivi ni mtaalamu wa wanawake na alikuwa amesaidia wengi tu, Tarehe hiyo hiyo mke wangu alikuwa kwenye siku zake ndo ilikuwa inaanza alipewa dawa za siku 5 kila mwezi atapoingia bleed lakini kuanzia alipoanza kutumia hizi dawa kulikuwa na madiliko katika mwili wake uke unakuwa na ute wa kutosha wakati wa kukutana na wife, na Dr kutokana tarehe hizo alizoingia Bleed akatueleza kuwa kuanza Tar 01-05/09/2016 tuanze kukutana na mke wangu kwani si siku nzuri za kupata ujauzito.
Sasa hapa naomba wataalamu kuhesabu tarehe za mwanamke kushika Mimba wachukue nafas hasa huu wa siku 28 kufika tarehe 29 au 30/08/2016 nakumbuka nilikutana na mke wangu usiku kwa furaha tu.
Lakini kufika tareh 02/9 jioni mke wangu aliniomba ruhusa ya msibani lakini sikumjibu chochote ili badae kidogo niombe chakula ya usiku nikapewa lakini si kwa furaha kivile kama alinitengea tu nilipomaliza nikampa jibu kuwa hakuna kwenda msibani lakini asubuhi aliondoka kienyeji tu na akasafiri akaenda mkoani kwa hawara yake aliyekuwa anachat naye kwa siri sana.
Akaenda akalala naye{inauma} huko Jumamosi kuamakia Jumapili jioni ndo akaingia home nilimbana sana aeleze alipokuwa alikataa kusema japo tayari nilishajua kama wiki hivi alikubali baada ya ugomvi mkubwa sana tukasuluhisha nimamsamehe lakini baada wiki mbili alikuwa mjamzito lakini aliogopa kusema mojamoja kwangu mpaka siku ya 3 ndo kuniambia na mimi nikakataa na kumuuliza hii mimba ya nani? Anajibu yangu nikauliza kwanini na kipi vipi? Ooh yule mwanaume hasimamishi vizuri{inauma}
Sikukubali tareh 22/10/2016 tukaenda kuchek ultrasound ili nijue kama inaweza ku-calculate mimba hii ni ya siku ngapi lakini majibu ujauzito ni wa 7 weeks na siku kadhaa.
Sasa ndugu zangu naombeni ushauri ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?
Nipo njia panda ndugu yenu sina majibu kabisa please
Samahani kama nimechanganya au sijaeleweka sehemu maana natumia simu kuandika.
Asante.
mkuu nishakupata vemaafwande;
Mbona tena wauliza jibu?? Hatumpi bali tunamtia mimba/ kumfyamba
Hahahaa Mkuu umeona eeh.
Huyu mleta uzi ni mwanamke. Katoa mbunye nje kavu kavu, kanasa! sasa kapagawa.
Ukisoma vyema maelezo yake, obviously kabisa ni mwanamke. Aliogopa kusema yeye ni mwanamke, maana angeoga matusi humu balaa. Ameitwist hiyo story aonekane yeye ni male.
-Kaveli-