Ndugu zangu naombeni ushauri, ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

Gody

JF-Expert Member
Apr 16, 2010
1,246
411
Habari wakuu,

Naamini ni wazima wa afya.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..

Ndugu zangu, nina miaka kadhaa tangu 6/2012 nimuoe shemeji yenu, tumekuwa tukihangaika kupata mtoto lakini mpaka mwaka huu ikawa imeshindikana bila mimi kuwa na shida yoyote na yeye mke wangu alikuwa na matatizo madogo dogo (majibu ya hosptal) ambayo tulishasolve lakini bado ikawa bado mtoto kupatikana.
.
 
Aiseeeee wanaume wa siku hizi sijui tupoje tupoje yaani hapo mambo yapo wazi kabisa kuwa mkeo aligongwa na hawara yake alafu mnasuluhishwa na wewe unakubali

siku mbili anakwambia kuwa ana mimba yako alafu unakuja kulia lia humu kuomba ushauri

Timua huyo ni malaya sio mke...mambo mengine hayaitaji kabisa kupeana ushauri yaani umenikera kuliko Magufuli aaaaaarg
 
Wenye jamaa sijui niseme una roho ngumu au vipi?! Kwamba huyo kicheche wako unayemuita mke ameenda kugawa K tena kwa kulazimisha na wewe unajua halafu bado unaye tu?!! Aisee mimi huwa nasema mke wangu amegwe sana tu nje akiweza ila ahakikishe sijui! Sasa wewe cha kukushauri ni kulea hiyo mimba vizuri kabisa. Mtafutie na embe mbichi na udongo kabisa na hata ukiweza beba mgongoni kupeleka kliniki
 
..nimeipenda hiyo {Inauma}!!

Lkn we jamaa ni mzima kweli!?? Mkeo(wa ndoa) ankuacha anenda nje kudhini alaf anarudi unamsamehe!?? Je Akikuletea UKIMWI utakuja kuomba msaada hapa!??...

..Eti ansema huyo jamaa "hasimamishi vizuri"!! kwa hali ya kawaida huyo jamaa angekuwa HANITHI mkeo angeenda kufuata "PIRA/MSHEDEDE"!!??

Bro tumia akili..dhambi ya uzinifu kwenye ndoa inatosha kabisa kuvunja ndoa!??

DONT BE DUMB...HUYO MWANAMKE ATAKULETEA WATOTO WA MAJAMBAZI HUMO NDANI..

...Inauma!!...Inauma..!!
 
Aiseeeee wanaume wa siku hizi sijui tupoje tupoje yaani hapo mambo yapo wazi kabisa kuwa mkeo aligongwa na hawara yake alafu mnasuluhishwa na wewe unakubali

siku mbili anakwambia kuwa ana mimba yako alafu unakuja kulia lia humu kuomba ushauri

Timua huyo ni malaya sio mke...mambo mengine hayaitaji kabisa kupeana ushauri yaani umenikera kuliko Magufuli aaaaaarg
da aisee kuna watu wana ujasiri wa ajabu duuh...
 
Habari Wakuu.!
Naamini ni wazima wa afya
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada..

Ndug zangu Nina miaka kadhaa tangu 6/2012 nimuoe shemeji yenu tumekuwa tukihangaika kupata mtoto lkn mpaka mwaka huu ikawa imeshindikana bila mimi kuwa na shida yoyote na yeye mke wangu alikuwa na matatizo madogo dogo (majibu ya hosptal) ambayo tulishasolve lkn bado ikawa bado mtoto kupatikana!

Sasa kufikia tar 20/08/2016 tukashauriwa tumuone Dr. Fulan hivi ni mtaalamu wa wanawake na alikuwa amesaidi wengu tu
Tareh hiyo hiyo mke wangu alikuwa kwenye siku zake ndo ilikuwa inaanza alipewa dawa za siku 5 kila mwez atapoingia bleed lkn kuanzia alipoanza kutumia hizi dawa kulikuwa na madiliko ktk mwili wake uke unakuwa na Ute wa kutosha wakati wa kukutana na wife, na Dr kutokana tareh hizo alizoingia Bleed akatueleza kuwa kuanza Tar 01-05/09/2016 tuanze kukutana na mke wangu kwani si siku nzuri za kupata ujauzito

Sasa hapa Naomba wataalamu kuhesabu tarehe za mwanamke kushika Mimba wachukue nafas hasa huu wa siku 28
Kufika tareh 29 au 30/08/2016 nakumbuka nilikutana na mke wangu usiku kwa furaha tu

Lkn kufika tareh 02/9 jioni mke wangu aliniomba ruhusa ya msiban lkn sikumjibu chochote ili badae kidogo niombe chakula ya usiku nikapewa lkn si kwa furaha kiviile kama alinitengea tu nilipomaliza nikampa nibu kuwa hakuna kwenda msiban lkn asubuh aliondoka kienyeji tu na akasafiri akaenda mkoani kwa Hawara yake aliyekuwa anachat naye kwa siri sana

Akaenda akalala naye{inauma} huko jumamos kuamakia jumapil jion ndo akaingia home nilimbana sana aeleze alipokuwa alikataa kusema japo tayar nilishajua kama wiki hivi alikubali baada ya ugomvi mkubwa sana tukasuluhisha nimamsamehe
Lkn baada wiki mbili alikuwa mjamzito lkn aliogopa kusema mojamoja kwangu mpka siku ya 3 ndo kuniambia na mimi nikakataa na kumuuliza hii mimba ya nani? Anajibu yangu nikauliza kwann na kipivip? Ooh yule mwanaume hasimamishi vizur{inauma}

Sikukubali tareh 22/10/2016 tukaenda kuchek ultrasound ili nijue kama inaweza ku-calculate mimba hii ni ya siku ngapi lkn majibu ujauzito ni wa 7weeks na siku kadhaa

Sasa ndugu zangu naombeni ushauri ujauzito huu ni wa Nani au nifanye Nini?

Nipo njia panda ndugu yenu sina majibu kabisa pls plz

Samahan kama nimechanganya au sijaeleweka sehemu maana natumia simu kuandika

Asante
Kabla ya yote nenda ukapimwe akili....
Inakuuma...??

Huyo mwanamke ni.......... Anaenda kugegedwa na unalijua kabisa...

Dah sisi wanaume sijui tunaongozwa na mbupu badala ya akili....

Fukuza.....!
 
Asante
Aiseeeee wanaume wa siku hizi sijui tupoje tupoje yaani hapo mambo yapo wazi kabisa kuwa mkeo aligongwa na hawara yake alafu mnasuluhishwa na wewe unakubali

siku mbili anakwambia kuwa ana mimba yako alafu unakuja kulia lia humu kuomba ushauri

Timua huyo ni malaya sio mke...mambo mengine hayaitaji kabisa kupeana ushauri yaani umenikera kuliko Magufuli aaaaaarg
 
Haaah ngoja nicheke kwanza japo siyo vizuri lakini sina budi kufanya hivyo,,lakin kwani ameshakwambia kila kitu na umejua,,sasa unataka ushauri gani tena
 
Nashukuru wanajamii kwa USHAURI wenu
1. Sikujua moja kwa moja siku hiyo hiyo kuwa akaenda wapi nilikuja kujua wiki baadae lkn sikuwah kulala naye
2. Najua tu kwa post yangu hii imekera wengi hasa wanaume wenzangu Lkn hata mimi pia ni mwelewa pia (sio boya kiviile kama wengine wanavyonifikiria nilitoa story yote ili upate picha ya kunishauri hasa hapo tu kwenye ujauzito ambapo nilihitaj kutanuwa mawazo)
3. Sawa vyovyote mtakavyonifikiria lkn kwann nimekaa nae hichi kipindi chote kwaajili kumuachanisha na biashara zangu ambazo yeye alikuwa akizisimamia kuniathili mimi au biashara ambapo kwa kiasi fulan nimeanza kufanikiwa mara nyingi nakuwa kazini hapa Halimashauri ya Jiji.
Natoa shukrani za dhati kwenu wote mlioacha kazi zenu na kunishauri.
Asante!!
 
Dah kweli wanaume bwege wapo wengi, fukuza akikung'ang'ania mtelekeze ukaanze maisha mapya, au baada ya kuletewa mtoto subiri uletewe na ngoma
 
Back
Top Bottom