Ndugu zangu naombeni msaada wenu wa kimawazo kuhusu leseni ya gari za kubeba abiria

5997

JF-Expert Member
Jan 19, 2019
514
1,204
Kulingana na hali ya maisha kuzidi kuwa tight mtaani, nimeamua kujipanga kutafuta fedha nikaongeze fani,

Nimepanga kusomea udereva wakuu lakini naombeni kwa wenye ufahamu mnisaidie kidogo,

Mimi nahitaji kusomea udereve na kupata leseni inayoruhusu kuendesha gari za abiria kama vile hiace,

Sasa wakuu naombeni mnieleweshe kidogo

Je, leseni inayoruhusu magari ya abiria ni ipi wakuu?

Pia je naweza kusomea hiyo leseni kabla sijapata leseni nyingine yoyote?

Yaani namaanisha sijawai kusomea udereva wala kuwa dereva ndio nataka nianze, je inaruhusiwa kuanza na kisomea leseni inayoruhusu gari za abiria?

Msaada wenu wakuu naombeni mnifahamishe pia nitashukuru kama mnaweza kunielezea na gharama za mpaka kuja kuipata wakuu👏👏👏👏
 
Kuhusu kujifunza namna ya kuendesha gari chuo kizuri cha uhakika ni NIT na VETA nazani,

Ulizia kama ulipo kuna hiyo huduma utatujulishwa uende.

Pia kuna vyuo vinginevyo visivyo rasmi wanafundisha udereva.

Ukishafuzu watakupa cheti utaenda nacho TRA ukaombe leseni.

Wakati wa mafunzo utatakiwa ukachukue leseni ya mwanafunzi yaani Learner TRA, TSh. 10,000 kwa kila daraja.

Mabasi ya abiria makubwa aina ya leseni ni daraja C1, C2, n.k

Lakini hutegemea na mambo kadha wa kadha mfano umri chini ya 25-30 hupewi

Kwa huo mfano wa Hiece unaweza kuomba daraja la D tu

Gharama ya leseni ni TSh. 70,000/-

Kuna gharama za L , Testing

Kwa wastani kwa daraja moja hilo la D mfano jumla yaweza kuwa TSh. 83,000/- kwa leseni tu,

Mafunzo gharama zinategemeana na maeneo uliopo lakini nazani yaweza kuwa 100,000 - 280,000/-


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu kujifunza namna ya kuendesha gari chuo kizuri cha uhakika ni NIT na VETA nazani,

Ulizia kama ulipo kuna hiyo huduma utatujulishwa uende.

Pia kuna vyuo vinginevyo visivyo rasmi wanafundisha udereva.

Ukishafuzu watakupa cheti utaenda nacho TRA ukaombe leseni.

Wakati wa mafunzo utatakiwa ukachukue leseni ya mwanafunzi yaani Learner TRA, TSh. 10,000 kwa kila daraja.

Mabasi ya abiria makubwa aina ya leseni ni daraja C1, C2, n.k

Lakini hutegemea na mambo kadha wa kadha mfano umri chini ya 25-30 hupewi

Kwa huo mfano wa Hiece unaweza kuomba daraja la D tu

Gharama ya leseni ni TSh. 70,000/-

Kuna gharama za L , Testing

Kwa wastani kwa daraja moja hilo la D mfano jumla yaweza kuwa TSh. 83,000/- kwa leseni tu,

Mafunzo gharama zinategemeana na maeneo uliopo lakini nazani yaweza kuwa 100,000 - 280,000/-


Sent using Jamii Forums mobile app
Umefafanua vizuri sana mkuu

Sent from my SM-A205F using Tapatalk
 
Kuhusu kujifunza namna ya kuendesha gari chuo kizuri cha uhakika ni NIT na VETA nazani,

Ulizia kama ulipo kuna hiyo huduma utatujulishwa uende.

Pia kuna vyuo vinginevyo visivyo rasmi wanafundisha udereva.

Ukishafuzu watakupa cheti utaenda nacho TRA ukaombe leseni.

Wakati wa mafunzo utatakiwa ukachukue leseni ya mwanafunzi yaani Learner TRA, TSh. 10,000 kwa kila daraja.

Mabasi ya abiria makubwa aina ya leseni ni daraja C1, C2, n.k

Lakini hutegemea na mambo kadha wa kadha mfano umri chini ya 25-30 hupewi

Kwa huo mfano wa Hiece unaweza kuomba daraja la D tu

Gharama ya leseni ni TSh. 70,000/-

Kuna gharama za L , Testing

Kwa wastani kwa daraja moja hilo la D mfano jumla yaweza kuwa TSh. 83,000/- kwa leseni tu,

Mafunzo gharama zinategemeana na maeneo uliopo lakini nazani yaweza kuwa 100,000 - 280,000/-


Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana kiongozi👏👏👏
 
Kuhusu kujifunza namna ya kuendesha gari chuo kizuri cha uhakika ni NIT na VETA nazani,

Ulizia kama ulipo kuna hiyo huduma utatujulishwa uende.

Pia kuna vyuo vinginevyo visivyo rasmi wanafundisha udereva.

Ukishafuzu watakupa cheti utaenda nacho TRA ukaombe leseni.

Wakati wa mafunzo utatakiwa ukachukue leseni ya mwanafunzi yaani Learner TRA, TSh. 10,000 kwa kila daraja.

Mabasi ya abiria makubwa aina ya leseni ni daraja C1, C2, n.k

Lakini hutegemea na mambo kadha wa kadha mfano umri chini ya 25-30 hupewi

Kwa huo mfano wa Hiece unaweza kuomba daraja la D tu

Gharama ya leseni ni TSh. 70,000/-

Kuna gharama za L , Testing

Kwa wastani kwa daraja moja hilo la D mfano jumla yaweza kuwa TSh. 83,000/- kwa leseni tu,

Mafunzo gharama zinategemeana na maeneo uliopo lakini nazani yaweza kuwa 100,000 - 280,000/-


Sent using Jamii Forums mobile app
Utapewa madaraja ya kuendesha gari za abiria ukiwa umeshapata daraja D.

NIT wanatoa mafunzo kwa ambao tayari ni madereva.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa vile unaanza, usitarajie kupewa leseni ya kuendesha magari ya abiria. ni hadi utimize miaka 3 (zamani kabla ya hii ya expiry ya 5) ukiwa una leseni ya ABD.

Labda ufanye 'mchakato' jambo ambalo sio salama kwa afya ya taaluma ya udereva na sheria za usalama barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa vile unaanza, usitarajie kupewa leseni ya kuendesha magari ya abiria. ni hadi utimize miaka 3 (zamani kabla ya hii ya expiry ya 5) ukiwa una leseni ya ABD.

Labda ufanye 'mchakato' jambo ambalo sio salama kwa afya ya taaluma ya udereva na sheria za usalama barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa lazima nifanye mchakato siwezi kusubiri miaka mitatu
 
Hapa lazima nifanye mchakato siwezi kusubiri miaka mitatu


Swala la kutaka kuendesha magari ya abiria ni nyeti, utakuwa unabeba roho za watu , uhai hauuzwi , kuwa na subra ufuate utaratibu ulowekwa ndipo itakuwa na manufaa kwako na kwa wengine.

Hiyo michakato ndiyo hupelekea kupatikana kwa madereva ambao husababisha ajali zenye kupoteza maisha ya watu na ulemavu wa kudumu.

Imeandikwa: “Mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi”

Utaratibu huo umewekwa kwa nia njema kabisa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la kutaka kuendesha magari ya abiria ni nyeti, utakuwa unabeba roho za watu , uhai hauuzwi , kuwa na subra ufuate utaratibu ulowekwa ndipo itakuwa na manufaa kwako na kwa wengine.

Hiyo michakato ndiyo hupelekea kupatikana kwa madereva ambao husababisha ajali zenye kupoteza maisha ya watu na ulemavu wa kudumu.

Imeandikwa: “Mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi”

Utaratibu huo umewekwa kwa nia njema kabisa!


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kupewa leseni ni paka uwe umesomea chuo fulani cha mafunzo...

Vipi kwa ambae amefundishwa tu na ndugu yake mfano labda uendeshaji pikipiki umemtafuta jamaa kakufundisha na ukaelewa vizuri sasa leseni unaipataje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kupewa leseni ni paka uwe umesomea chuo fulani cha mafunzo...?

Vipi kwa ambae amefundishwa tu na ndugu yake mfano labda uendeshaji pikipiki umemtafuta jamaa kakufundisha na ukaelewa vizuri sasa leseni unaipataje??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu kujifunza namna ya kuendesha gari chuo kizuri cha uhakika ni NIT na VETA nazani,

Ulizia kama ulipo kuna hiyo huduma utatujulishwa uende.

Pia kuna vyuo vinginevyo visivyo rasmi wanafundisha udereva.

Ukishafuzu watakupa cheti utaenda nacho TRA ukaombe leseni.

Wakati wa mafunzo utatakiwa ukachukue leseni ya mwanafunzi yaani Learner TRA, TSh. 10,000 kwa kila daraja.

Mabasi ya abiria makubwa aina ya leseni ni daraja C1, C2, n.k

Lakini hutegemea na mambo kadha wa kadha mfano umri chini ya 25-30 hupewi

Kwa huo mfano wa Hiece unaweza kuomba daraja la D tu

Gharama ya leseni ni TSh. 70,000/-

Kuna gharama za L , Testing

Kwa wastani kwa daraja moja hilo la D mfano jumla yaweza kuwa TSh. 83,000/- kwa leseni tu,

Mafunzo gharama zinategemeana na maeneo uliopo lakini nazani yaweza kuwa 100,000 - 280,000/-


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupata mkuu je nichuo kipi naweza kujifunza kuongeza daraja c1 c2 na c3 japikuwa nina leseni haijafuka hata mwaka
Kuhusu kujifunza namna ya kuendesha gari chuo kizuri cha uhakika ni NIT na VETA nazani,

Ulizia kama ulipo kuna hiyo huduma utatujulishwa uende.

Pia kuna vyuo vinginevyo visivyo rasmi wanafundisha udereva.

Ukishafuzu watakupa cheti utaenda nacho TRA ukaombe leseni.

Wakati wa mafunzo utatakiwa ukachukue leseni ya mwanafunzi yaani Learner TRA, TSh. 10,000 kwa kila daraja.

Mabasi ya abiria makubwa aina ya leseni ni daraja C1, C2, n.k

Lakini hutegemea na mambo kadha wa kadha mfano umri chini ya 25-30 hupewi

Kwa huo mfano wa Hiece unaweza kuomba daraja la D tu

Gharama ya leseni ni TSh. 70,000/-

Kuna gharama za L , Testing

Kwa wastani kwa daraja moja hilo la D mfano jumla yaweza kuwa TSh. 83,000/- kwa leseni tu,

Mafunzo gharama zinategemeana na maeneo uliopo lakini nazani yaweza kuwa 100,000 - 280,000/-


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaratibu ni huo wa kwenda chuo cha mafunzo, ukiwa kule utaweza kwenda TRA kupata learner,

Utakapomaliza mafunzo na kupewa cheti ndipo utaenda nacho TRA kuomba leseni,

Kabla ya kupewa kutakuwa na mchakato wa kwenda kufanya majaribio kivitendo polisi kuona kama umeiva ktk udereva.

Kinyume na hapo kwa maelezo zaidi jaribu kufika ofisi TRA wanapotoa leseni watakufafanulia vizuri.

Tahadhari na vishoka!

Utaratibu huo ulowekwa ni mzuri ktk kuhakikisha leseni zinatolewa kwa watu sahihi walopata mafunzo na kuzifahamu alama na sheria za usalama barabarani.

Swala la kuendesha ni nyeti maana linahusika na maisha ya binadamu kuhakikisha usalama muda wote na kuepuka ajali.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kupewa leseni ni paka uwe umesomea chuo fulani cha mafunzo...?

Vipi kwa ambae amefundishwa tu na ndugu yake mfano labda uendeshaji pikipiki umemtafuta jamaa kakufundisha na ukaelewa vizuri sasa leseni unaipataje??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapa ndipo chanzo kukubwa cha kupata madereva makanjanja !

Kujifunza gari kienyeji ni tatizo kubwa!

Na tatizo litakuwa kubwa zaidi iwapo mamlaka husika nao watatoa leseni bila kufuata utaratibu ulowekwa!

Madereva wenye kujali usalama wa binadamu wenzao ni wachache wengi hawajijali hata wao wenyewe nafsi zao!

Mfano unakuta huyo alokufundisha kienyeji kama anatabia ya kukanyaga break kwa gafla utakuwa wakati wa kukufundisha anakuambukiza hiyo tabia.

Kama alikuwa na mazoea ya mwendo kasi basi atakuwmbukiza hivyo n.k

Ndiyo maana hili swala nashauri bora lingekuwa lingers simu she’s na kuachwa kwa chuo cha usafirishaji pekee kwa kufungua matawi ya vituo vya mafunzo maeneo mbali mbali mradi wawe na uhakika wa wakufunzi ambao watafundisha kwa usahihi kabisa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom