Kwa hiyo tatizo ni kufanya kazi tu? WaTz tuache uvivu!Maisha ni popote duniani maisha ya USA ni magumu sana lazima ufanye kazi wewe .Msiweke maisha hatarini kwa ajili ya kutaka kwenda pa kawaida tu hapa
Maisha ni popote duniani maisha ya USA ni magumu sana lazima ufanye kazi wewe .Msiweke maisha hatarini kwa ajili ya kutaka kwenda pa kawaida tu hapa
Umekaa comfortable kabisa unachat/comment humu....hata mlio wa risasi hujasikia..... unakwenda kazini kwako unarudi....yet unakuja humu kusema tz sio salama are you mad or something!!?Africa ni sehemu hatar sana ktk uso wa Dunia,ni heri ufe ukijaribu kuitetea nafsi yako kuliko kubaki kwenye mikono ya mtu mweusi...mara ngapi tunasikia watu wanatekwa hapa Tz?
Je,ulishawahi kusikia nchini Marekani mtu katekwa na serikali ikakaa kimya?
Let's them swim to US!
Maisha mazuri ni hela....sio mahali....tek thatAcha propaganda boss, U.S. maisha magumu yapo kwa migrants tena ambao hawana akili, hakuna maisha magumu kule ila ukiyataka unayapata.
Hivi maisha ya bongo yalivyo ya ki mbwa mbwa ufananishe na ya kule come on bro grow up
wenzenu wazungu wakija afrika wanapiga picha sehemu za slum,nyie mkiwa majuu mnachagua kupiga picha sehemu nzuri,sasa watu wakiona wanadhani marekani ni mbinguni kuweni wazalendo nyinyi kwanza kwa kuleta image za slum za huko
Acha propaganda boss, U.S. maisha magumu yapo kwa migrants tena ambao hawana akili, hakuna maisha magumu kule ila ukiyataka unayapata.
Hivi maisha ya bongo yalivyo ya ki mbwa mbwa ufananishe na ya kule come on bro grow up
Huyo mtoto kaniuma sana
So sad kwa kweliHuyo mtoto kaniuma sana
Yaani mpaka kanikosesha raha mno siku ya LeoAged two yrs...
Ni kweli,ukishakuwa na hela huko USA kunaendeka bila ya shida yoyote,nadhani shida hapa ni uvivu watu wakidhani kuwa ukiwa USA hela inamwagwa kwa kila mtu kirahisi,nina jamaa zangu wawili wako kule maisha yao ni ya kawaida sana...Maisha mazuri ni hela....sio mahali....tek that
Ni kweli kabisa kiongozi, lakini mwenye hela U.S na mwenye hela bongo nyoso ni sawa?Maisha mazuri ni hela....sio mahali....tek that