Ndugu yangu Samia nchi ipo gizani

Ndugu yangu Samia nchi ipo gizani

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Ndugu yangu Samia nchi asilimia 60 ipo Giza mpaka muda huu ninapoongea hakuna umeme una taarifa ??

Unajua umeme ndio usalama namba moja wa Taifa?

Mafisadi ya umeme yamekushinda ndugu yangu Samia?
 
usije kuambiwa wewe ni shetani unajificha gizani.kwani umeme wa ethiopia na wa mabomu ya nyuklia ujasikia hupo
 
Ndugu yangu Samia nchi asilimia 60 ipo Giza mpaka muda huu ninapoongea hakuna umeme una taarifa ??

Unajua umeme ndio usalama namba moja wa Taifa?

Mafisadi ya umeme yamekushinda ndugu yangu Samia?
IMG-20250605-WA0030.jpg
 
Ndugu yangu Samia nchi asilimia 60 ipo Giza mpaka muda huu ninapoongea hakuna umeme una taarifa ??

Unajua umeme ndio usalama namba moja wa Taifa?

Mafisadi ya umeme yamekushinda ndugu yangu Samia?
'Kenge' mnataka umeme wa nini?
 
Hivi humu waganga na wachawi hawamo asee? majina ya huyu mama si yanajulikana kama mnavyowaroga watu wengine fanyeni basi na hapa yani hata radi ya elfu 5k imeshindikana asee
 
Una undugu na jini mnyonya damu za Watanganyika wasiokuwa na hatia??? 🤒
 
Back
Top Bottom