Mi huwa nashindwa kabisa kuelewa watu kama hawa hawajui kiswahili
😂😂😂😂Ha ha ha..... au kule uswahilini kibanda cha mkaa kimeandikwa MKAA HUPO!
Yaaaani huwa nasoma kisha nabaki na butwaa..... na wakati mara nyingi wanaoandika kwa makosa hivi sehemu mbalimbali ukibahatika kukutana na mmoja wapo ukamuuliza kiwango chake cha elimu atakwambia ni form IV, Diploma n.k. Kwa kweli huwa siamini mtu aliyehitimu kidato cha nne akaandika makosa makubwa hivyo. Binafsi nikiwa darasa la tano sikuwa nikiandika makosa ya hivyo kwenye kiswahili. tunayo kazi kubwa sana kuwafunza vijana wetu uandishi fasaha wa lugha zetu kwa kweli.... Wengi wanashindwa kutofautisha kwa mf. AKILI na HAKILI wanayachanganya hadi uzeeni mwao.😂😂😂😂
Mkaa hupo 🙆🙆
Ah basi mi niliishia pale kwa dalali...Dia babu,kwenye huu uzi niliona neno mbaka tu..sijasoma kwingine
Ah basi mi niliishia pale kwa dalali...
Elimu Elimu ElimuNimesoma mwanzo mpaka mwisho ila huyo dada kuchezea konga kote hukooo sijaona kama aliachwa athari yoyote (single mother) wakina dada wajf mlifeli wapi mpaka mkaachwa masingle mother? Au huyu mwenzenu alikuwa mgumba?
Unaposema elimu elimu elimu unamaanisha nnElimu Elimu Elimu
Humo humo sitaki ujingaAhahaha kwamba magunia ya mkaa au
Hope, umejifunza au kukumbusha kitu flani.