Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,404
- 79,653
Ndugu yako msomi akusaidie.NImejaribu Nimeshindwa Ndugu Ndio Unafanyaje?
Ndugu yako msomi akusaidie.NImejaribu Nimeshindwa Ndugu Ndio Unafanyaje?
Nyie ndo mnatengeneza mazingira ya kuibiwa.Habarini ndug,ninaomba msaada jins ya kumsaidia ndug yangu huyu kupata au kuwa na kazi tra.nina ndugu yangu ambae ni kama mdg wangu ambaye ni mtoto wa baba mkubwa amesomea mambo ya uhasibu kule arusha.jana nilipokutana nae ameniambia anatamani kufanya kazi tra.
kiukweli matokeo yake ni mazuri sana kwa sabbu amedai ana gpa kubwa ya 4.5 na amesema anaipenda sana hiyo kaz.hivyo tukiwa naomba mumsaidie aipate hiyo kazi kama kuna watu wa kuajiri humu. Nina imani hata kwa gpa yake ilivyo nzuri ataipata
Asanteni.
Hujaelewa nini sasa hapo?kivipi ndugu sijaeleewa .
Zamani ndio tulikuwa tunachagua ufanye kazi wapi,siku hizi kila kijana anataka afanye kazi TRA,Bandari,jeshini,TISS,Bungeni,TBC,Vodacom,Tigo,TBL,kwahiyo usitegemee watu wamsaidie nduguyo kirahisi hivyo,unaowaomba wanataka pia,watu Wana masters za BBA,na wanataka japo kazi ya benk teller,we unawaomba wamsaidie nduguyo kupata kazi TRA?Habarini ndugu, ninaomba msaada jinsi ya kumsaidia ndugu yangu huyu kupata au kuwa na kazi TRA. Nina ndugu yangu ambae ni kama mdg wangu ambaye ni mtoto wa baba mkubwa amesomea mambo ya uhasibu kule Arusha. Jana nilipokutana nae ameniambia anatamani kufanya kazi TRA.
Kiukweli matokeo yake ni mazuri sana kwa sababu amedai ana GPA kubwa ya 4.5 na amesema anaipenda sana hiyo kazi. Hivyo tukiwa naomba mumsaidie aipate hiyo kazi kama kuna watu wa kuajiri humu. Nina imani hata kwa gpa yake ilivyo nzuri ataipata
Asanteni.
Mkuu kama GPA iko vizuri aombe tu kuwa TAX consultant au atafute CPA(T) ni kama kufanya tu kazi TRA.Ni ushauri tu pa kuanzia mpaka ahapo TRA watakapomuhitaji.Habarini ndugu, ninaomba msaada jinsi ya kumsaidia ndugu yangu huyu kupata au kuwa na kazi TRA. Nina ndugu yangu ambae ni kama mdg wangu ambaye ni mtoto wa baba mkubwa amesomea mambo ya uhasibu kule Arusha. Jana nilipokutana nae ameniambia anatamani kufanya kazi TRA.
Kiukweli matokeo yake ni mazuri sana kwa sababu amedai ana GPA kubwa ya 4.5 na amesema anaipenda sana hiyo kazi. Hivyo tukiwa naomba mumsaidie aipate hiyo kazi kama kuna watu wa kuajiri humu. Nina imani hata kwa gpa yake ilivyo nzuri ataipata
Asanteni.
haahaa naskia harufu ya upigaji hapa..Ana shs.ngapi kwani aingizwe hata kesho bila hata intavyuu?
SAwa asant e ndugu.Mtoa mada pole sana,
kitu cha kufanya, hebu mchukue huyo ndugu yako ambae ni msomi kisha muulize kuhusu utumishi, yeye ndiye atakupa majibu mazuri.
SIjakuelewa kwenye Kuloga.Unamanisha VIpi NduGu.Kamwambia aloge...kama sivyo atasugua benchi mpaka ashangae
Anadhani kule kuna ingia damu nyeusi? Yote kwa yote apambane tuu atatoboa.
Sawa Rafiki.Ndugu yako msomi akusaidie.
Unamaanisha Kivip Ndugu.Nyie ndo mnatengeneza mazingira ya kuibiwa.
Sio Mimi Rafiki,Ni Ndugu wa Baba Mkubwa Wangu.Ninaomba Msaada Kama kuna WezzekanaWewe unatafuta kazi popote au unatafuta kazi TRA?
Kama ni TRA ni kwanini?
Kwamba Hiyo Pesa Inakuwa ViPi.Hujaelewa nini sasa hapo?
PIa GPA Yake ni Nzuri.Ana uwezo Mkubwa Wa Mahesabu Kwa Sababu Pia Amesomea Pia Chuo Cha Uhasibu.Zamani ndio tulikuwa tunachagua ufanye kazi wapi,siku hizi kila kijana anataka afanye kazi TRA,Bandari,jeshini,TISS,Bungeni,TBC,Vodacom,Tigo,TBL,kwahiyo usitegemee watu wamsaidie nduguyo kirahisi hivyo,unaowaomba wanataka pia,watu Wana masters za BBA,na wanataka japo kazi ya benk teller,we unawaomba wamsaidie nduguyo kupata kazi TRA?
Ni mremavu?ana kipi Cha upekee?
Anadai Kazi Anaipenda.Pia Ufaulu Wake Unaridhisha.Naomba Msaada Jinsi Ya Kumsaidia NduguMbona Kila Mtu anaitaja TRA kuna nini huko?
Asante.Kwanza mwambie afute hiyo 4.5 GPA na TRA akilini mwake na afocus kuwa best katika real life. Will thank me later
Naomba Msaada Ndugu Afanyaje.haahaa naskia harufu ya upigaji hapa..