Ndugu yangu anataka kazi TRA

Dah sijui niandike vp Kama wewe n msom walau wa darasa la 12 basi nadhan unajua TRA ni taasisi ya umma Kama n hvyo kazi zote zinatangazwa utumishi ndio wenye jukumu la ajira za umma

Sasa mkuu unahtaji msaada upi utupe rushwa ili tumuweke kijana wako mwambie awe anacheck utumish Kama Kuna kaz ya tra inayoendana naye aombe

ILA AJUE TATIZO LA AJIRA N KUBWA MPE MTAJI AJIAJIRI ILI AJE AAJIRI NA WENGINE
 
Habarini ndug,ninaomba msaada jins ya kumsaidia ndug yangu huyu kupata au kuwa na kazi tra.nina ndugu yangu ambae ni kama mdg wangu ambaye ni mtoto wa baba mkubwa amesomea mambo ya uhasibu kule arusha.jana nilipokutana nae ameniambia anatamani kufanya kazi tra.

kiukweli matokeo yake ni mazuri sana kwa sabbu amedai ana gpa kubwa ya 4.5 na amesema anaipenda sana hiyo kaz.hivyo tukiwa naomba mumsaidie aipate hiyo kazi kama kuna watu wa kuajiri humu. Nina imani hata kwa gpa yake ilivyo nzuri ataipata

Asanteni.
Mwambie aanzie TISS kwanza baadaye atafika huko anakupenda kufanyia kazi. Sasa hivi siyo rahisi kwenda kule direct bila kuanzia hapo juu.
 
Dah sijui niandike vp Kama wewe n msom walau wa darasa la 12 basi nadhan unajua TRA ni taasisi ya umma Kama n hvyo kazi zote zinatangazwa utumishi ndio wenye jukumu la ajira za umma

Sasa mkuu unahtaji msaada upi utupe rushwa ili tumuweke kijana wako mwambie awe anacheck utumish Kama Kuna kaz ya tra inayoendana naye aombe

ILA AJUE TATIZO LA AJIRA N KUBWA MPE MTAJI AJIAJIRI ILI AJE AAJIRI NA WENGINE
Sawa nimekuelewa ila unavyosema utumishi unamaanisha nin? au huwa zinaombwa kupitia utumishi?yaani majina yanafika vipi utumishim
 
Habarini ndug,ninaomba msaada jins ya kumsaidia ndug yangu huyu kupata au kuwa na kazi tra.nina ndugu yangu ambae ni kama mdg wangu ambaye ni mtoto wa baba mkubwa amesomea mambo ya uhasibu kule arusha.jana nilipokutana nae ameniambia anatamani kufanya kazi tra.

kiukweli matokeo yake ni mazuri sana kwa sabbu amedai ana gpa kubwa ya 4.5 na amesema anaipenda sana hiyo kaz.hivyo tukiwa naomba mumsaidie aipate hiyo kazi kama kuna watu wa kuajiri humu. Nina imani hata kwa gpa yake ilivyo nzuri ataipata

Asanteni.
Aende longroom ashike bango kuwa anaomba job
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom